Recent content by MrMondo

  1. MrMondo

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa NSSF, Pro. Kahyarara na kumteua William Erio

    Kilichofanya atumbuliwe ni FAO LA KUJITOA kumekuwa na nenda rudi isiyo na mwisho badala yake ilibidi watu waambiwe ukweli kwamba fao halipo kuliko nenda rudi isiyo mwisho. Ila kingine inasemekana kwamba amekua akitumia MUSWADA wa fao la kujitoa kama SHERIA ukweli ni kuwa RAIS bado hakusaini...
  2. MrMondo

    CAMERAMAN ANATAKIWA

    Ilo la kutafuta masoko tafuta meneja masoko umuajiri kwani ni taaluma mbili tofauti kabisaaa
  3. MrMondo

    Msaada: Namna ya kujisajili kama private candidate

    Mimi pia nina mpango wa kufanya egm 2019 nipo dar nicheki tufanye kitu (0716457094)
  4. MrMondo

    Nauza vitabu vya PCB bei rahisi

    Upo dar??
  5. MrMondo

    CCM yaitaka Polisi imhoji Freeman Mbowe na viongozi wenzake wa CHADEMA walioshiriki maandamano yasiyo halali

    Zwazwa wewe,na bado kata mbili tu SALUM MWALIM awe mbunge wa kinondoni..mkaseme tena polisi
  6. MrMondo

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    mungu ni wetu sote,tuwe na utu jamani,kuna maisha mengine baada ya haya ya duniani
  7. MrMondo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi waliopokea matokeo ya kidato cha nne 2018

    Private haina shida sifa ya kufanya mtihani kidato cha 6 ni kuwa na ufaulu usiopungua C' 3 and it does not matter wether C ipo kwenye civics or bible knowledge
  8. MrMondo

    Nitakubaliwa kubadili kozi VETA DSM?

    Soma tu iyo kozi soko lake kwa sasa ni kubwa kuliko iyo electrical,miradi mingi ya maji,mafuta na gesi inayofunguliwa hapa nchini nyinyi ndo mnahitajika nakushaur endelea tu na hiyo kozi na hutojutia. Kwa kifupi electrician wanaominika sana ni wale wa kuanzia diploma na kuendelea...
  9. MrMondo

    Natafuta kituo cha kufanyia mtihani wa kidato cha sita kama private candidate

    Nicheki tutakua pamoja mimi nahitaji kufanya advance mathematics na chemistry kama reseater (0625 514893) ukimpata mkali wa chemistry nistue na mimi
  10. MrMondo

    Hizi ndo shule 100 Kongwe na zilizotikisa Tanzania, na asilimia 90 humu tumepitia katika shule hizi

    LYAMUNGO wazee wa lyaboyz tufahamiane,ila sijaona AL HARAMAIN ISLAMIC
Back
Top Bottom