Kilichofanya atumbuliwe ni FAO LA KUJITOA kumekuwa na nenda rudi isiyo na mwisho badala yake ilibidi watu waambiwe ukweli kwamba fao halipo kuliko nenda rudi isiyo mwisho. Ila kingine inasemekana kwamba amekua akitumia MUSWADA wa fao la kujitoa kama SHERIA ukweli ni kuwa RAIS bado hakusaini...
Private haina shida sifa ya kufanya mtihani kidato cha 6 ni kuwa na ufaulu usiopungua C' 3 and it does not matter wether C ipo kwenye civics or bible knowledge
Soma tu iyo kozi soko lake kwa sasa ni kubwa kuliko iyo electrical,miradi mingi ya maji,mafuta na gesi inayofunguliwa hapa nchini nyinyi ndo mnahitajika nakushaur endelea tu na hiyo kozi na hutojutia.
Kwa kifupi electrician wanaominika sana ni wale wa kuanzia diploma na kuendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.