askarikambi
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 246
- 263
Habari bandugu,
First born wangu amemaliza kidato cha nne na amepata div. II ya point 20. Ni mvulana na anataka comb. ya EGM.
Najua anaweza kupata shule ya Serikali, lakini natafuta ya private ili kama akipangiwa shule "yenye kutia mashaka kitaaluma" basi nimpeleke private kama nilivyofanya kwenye o'level.
Maombi yangu kwenu, naomba mnisaidie kunitajia shule nzuri kitaaluma za a'level za boys katika mikoa ya Dar, Pwani, Morogoro, Tanga, Kilimanjaro na Arusha ambazo ada yake haizidi sh. 3.5 mil.
Natanguliza shukrani na kila la kheri kwa siku ya wapendanao.
First born wangu amemaliza kidato cha nne na amepata div. II ya point 20. Ni mvulana na anataka comb. ya EGM.
Najua anaweza kupata shule ya Serikali, lakini natafuta ya private ili kama akipangiwa shule "yenye kutia mashaka kitaaluma" basi nimpeleke private kama nilivyofanya kwenye o'level.
Maombi yangu kwenu, naomba mnisaidie kunitajia shule nzuri kitaaluma za a'level za boys katika mikoa ya Dar, Pwani, Morogoro, Tanga, Kilimanjaro na Arusha ambazo ada yake haizidi sh. 3.5 mil.
Natanguliza shukrani na kila la kheri kwa siku ya wapendanao.