Leo wanahalisi wametoa hii habari, at least watu watajua ukweli!!!!general waitara inabidi atafutwe nae aconfirm hizi habari kabla ikulu kama kawaida yake haijakanusha!!! Jaman general waitara yuko wapi siku hizi???yupo kama hayupo lakini bado anaonekana kichwa kweli kwenye taifa. Letu!!!kwa nin...
aMericans foreign policy yao ni no permanent friends no permanent friends but permanent interests, kwa policy hio jaman rais wetu bado hakufikiria nini general waitara alichokuwa akikiona au kuna agenda nyingine kikwete anayo na hawa wamerakani, ambao kwa sasa yeye mwenywe anaona jinsi gani...
Jamani mbona ikulu na salva na team yake wapo kimya juu ya hili au ni ya ukweli haya manake kimya chao inamananisha kwamba hawajui jinsi gani watavyoliweka manake kila kitu ni cha kweli?au wadau mnaonaje?mmmmmh kazi tunayo sijui tutafika, JAMAN WAHANDISHI WAHABARI hampo humu? Au paka salva aseme...
Jenerali waitara hakutaka upuuzi kabisa kwneye mambo ya maslahi ya taifa,ndo mana hadi leo jamaa hajampa kitengo chochote kwa sababu anajua jenerali ana msimamo wa kukutetea sana maslahi ya inchi,leo hii wanyama wana chukuliwa nchi hii kwenda nje hamna mtu anasema chochote,kweli?jamani hamna mtu...
General waitara, ana msimamo na msimamo wake sio wa kihuni kama wa kikwete,ukweli sasa unatoka sio kwamba general waitara anamchukia sijui anaugomvi na kikwete, ni uzushi, waitara hakubaliani na usanii wa marekani ambayo kikwete aliukumbatia,sasa wamembwaga kwani wanamuona hana lolote ni usanii...
Jamani kweli kikwete anaendelea kutuuza kila siku, general waitara alikuwa anatetea maslahi ya inchi yetu kama alivyo apa kuilinda katiba ya inchi yetu. Americans wameshamdump rais zamani na sasa lazma atakuwa anaelewa waitara alikuwa ana manisha nini, general waitara we support you
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.