Recent content by Mrkaswahili

  1. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Nilikopa milioni 10, siku naona salary slip yanipasa kulipa 24m jicho la upande wa kushoto lilijifunga kama dakika 40 hivi. Nilijua limeparalyse!

    Ukihitaji mkopo uso na riba na unaweza kulipika vizuri kakopeni bank ya amanawapo vizuri katika mikopo [emoji120][emoji120][emoji120]
  2. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Nimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing, natafuta kazi

    Amiin na Ahsante sana ndugu
  3. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Nimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing, natafuta kazi

    Mimi sijakufahamu ndugu
  4. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Nimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing, natafuta kazi

    WASIFU: Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26, ni mkazi wa jiji la Mwanza, wilaya ya Ilemela. * ELImu: Niimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing hapa hapa jijini Mwanza. * UZOEFU: Nina uzoefu wa kazi hususani katika taasisibz kifedha wa takribani miaka mitatu kutoka katika taasisi...
  5. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Aptitude test TCB

    Soma issues zote zinazo husuku customer care bank products and services provided, and core value za bank husika, na jitahidi kupitia zile job responsibilities ya kitu unacho omba ni muhimu sana. All the best mungu akusimamie
  6. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Maelezo yalikutaka ku apply moja hata kama una qualify zote chagua moja
  7. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Pamoja boss umeapply moja ktk hizo
  8. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Boss wangu humu ndani wapo hadi watu wa idara husika kuanzia wakubwa mpk ngaz za chini kwahiyo kufunguka kila jambo n hatari kwa afya yako tafadhali ila TMO kama ulivyo ambiwa ipo vzr
  9. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II vs Custom Officer II

    Tax management n nyepesi sana ht kazini . Custom km mtu anataka kula kijanja janja sana custom inamhusu ila ina risk sana
  10. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Kwa wale tulioomba kazi TRA

    Hakuna wapo internal ambao wameendelea na kazi mpk kesho boss
  11. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa TRA lini?

    Majina ya interview yametoka lakini kama vyeti havikupitishwa kwa wakili mzee umelimwa
  12. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi au internship nipo Mwanza

    0748429030
  13. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa TRA lini?

    I likecit kaka wach waaminio tayari wamewekwa watu waendelee kuamini hivyo ila majina yatatoka tu
  14. Mrkaswahili

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa TRA lini?

    Bado bilabila pande zote boss
Back
Top Bottom