Mrkaswahili
Member
- Dec 17, 2021
- 65
- 43
WASIFU: Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26, ni mkazi wa jiji la Mwanza, wilaya ya Ilemela.
* ELImu: Niimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing hapa hapa jijini Mwanza.
* UZOEFU: Nina uzoefu wa kazi hususani katika taasisibz kifedha wa takribani miaka mitatu kutoka katika taasisi mbalimbali hapa hapa jijini Mwanza, Nina uzoefu wa kuwa afisa masoko, loan officer, customer service,
Pia nilifanikiwa kwenda training ya masuala ya kifedha kwa wiki mbili.
* MAPENDELEO: Naomba kupitia ukurasa huu kupata kazi katika taasisi yoyote ambayo ipo hapa jijini Mwanza, kulingana na faculty niliyo soma, au kulingana na uzoefu wangu wa kazi nilionyesha hapo juu kwa maandishi, natumai katika uzoefu wangu huo, na katika nafasi tofauti tofauti nilizo hudumu nimejenga uwezo mkubwa wa kuhamasisha watu na kujenga timu pamoja na utendaji kazi uliotukuka.
*Ni wenu kijana katika kujenga taifa letu.
* ELImu: Niimesoma na kuhitimu Diploma of Accountancy and Auditing hapa hapa jijini Mwanza.
* UZOEFU: Nina uzoefu wa kazi hususani katika taasisibz kifedha wa takribani miaka mitatu kutoka katika taasisi mbalimbali hapa hapa jijini Mwanza, Nina uzoefu wa kuwa afisa masoko, loan officer, customer service,
Pia nilifanikiwa kwenda training ya masuala ya kifedha kwa wiki mbili.
* MAPENDELEO: Naomba kupitia ukurasa huu kupata kazi katika taasisi yoyote ambayo ipo hapa jijini Mwanza, kulingana na faculty niliyo soma, au kulingana na uzoefu wangu wa kazi nilionyesha hapo juu kwa maandishi, natumai katika uzoefu wangu huo, na katika nafasi tofauti tofauti nilizo hudumu nimejenga uwezo mkubwa wa kuhamasisha watu na kujenga timu pamoja na utendaji kazi uliotukuka.
*Ni wenu kijana katika kujenga taifa letu.