Kuna mwanangu alikata san nywele zake aanze upya kila mara akijua anakosea kuzitunza kumbe ndo nywele zake mpaka pale alipo uliza washkaj ni wakamtonya zile black ni kwa ajili yetu wenye nywel nyekundu
Hi dunia kwani ni yetu, Jifunze kupotezea baadhi ya mambo itakusaidia sana ulinnunu Gari lako ukijua utalimudu mwenyewe kumsaidia huyo mwamba ni kama umetoa sadaka tu.
Jamn mimi ndo maana sipendi lift za watu basi tu shida zinatudhalilisha
Sorry nakupinga , hawa watu ni very economy hatari ukiona ana travel alishatenga fungu mda kwa ufupi wanafanya kile kilichopo kwenye schedule wachache wao ndo wanakurupuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.