Kulikoni mbona kila mtu anasema vodacom,matatizo yao ni kidogo sana na ukitoa shida yako inasikilizwa na kupewa jibu muafaka na kama unaona hutendewi haki inabidi ujitahidi uende yalipo makao makuu yao
Ndugu,huduma ya mawakala itaendelea kuwepo kwani lipa kwa m pesa ni kwa ajili ya kununulia na kulipia huduma tu.Hivyo kwa upande wa kutuma na kupokea pesa huduma hizi zitaendelea kuwepo tu
Siku zote usipende kufukua makaburi ili kujua kilichomo ndani,je ww ukiambiwa toa historia ya wapenzi wako utakubali?.Kumbuka pia pale unapoanza mahusiano,mambo ya nyuma yote usiyasikilize wala kuyapa nafasi kwani ukiyasikiliza na kuyapa nafasi mnaweza mkagawana majengo ya serikali na mpendwa...
R.I.P mashujaa wetu kwani amani tuliyonayo inachangiwa sana na uwepo wenu,yatasemwa mengi sana na hakuna kifo kisichokuwa na sababu.Sisi sote ni waja wa mwenyezi mungu kwani kwake tulitoka na kwake tutarejea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.