Wenye Bank yao wamesha badilisha upepo wa mada ili madudu yasijulikane wazi......Itakuwa wapigaji niwenyewe halafu waaliimu walivhangishwa muda mreefu kuanzishwa na kuifanya Bank isimame.
Kumbe wanapigwa tu maskini.
Kwanini hawajifunzi kilakitu wanalazimishwa na kutishiwa kuchangia nawao hata...
Mwanamke wakao angalia asije kuwa mpumbavu.
Maana mwanamke mpumbavu huvyunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
Akae atulie maadam upo na unamsimamo kwake kwamba ndiyo mke wako ho wengine wanachezea mida wao tu.
Azidishe mapenzi asiskiloze wala kuangalia na kutilia maanani kinachotokea hata...
Dini haifanyi mtu kuwa na ndoa nzuri au mbaya ni watu wenyewe.
Dini zipo kutuelimisha na kutuonyesha njia.
Iwe ya kiislam mali ulizo chuma na mume akiondoka wapewe wajomba na watu wengine ambao hawajui hata historia na mliyopita kuchuma hizo mali nyie mkiachiwa kasehemu kadogo au.
kuongezewa...
Siyo kwamba niimani kwamba utakufa mapema..Ni insurance incase ikitokea.
Kumbuka karma yekesho inaundwa na maamuzi, matendo yetu ya leo..
Kama akizulumiwa ni kwamba kuna sehemu ulikosea wewe, karma haikosei.
Hili ni gumu sana kwa sasa..Wazazi hawaishi sana na watoto kama ilivyokuwa huko zamani .Kwahiyo anaweza kuwa na mtoto lakini asimfahamu tabia yake ya kweli akiwa nyumbani na maeneo ya nyumbani ana act tu
Kwa upande wangu nimekubaliana nalo kabisa kwasababu akili yangu nimeiweka kwamba yotehayo anafanya kwa maendeleo yetu hata kama ni kidogo anachochangia kwakungu inaonesha ni jinsi gani anajitoa siyo kwa maneno tu bali kwa vitendo kwangu mimi, watoto na ndoa yake.
Kuna vitu huwezi kununua mkuu...
Sawaaa....lakini kama hamjafunga ndoa nani atakuwa msimamizi wa malinza watoto ukiwa haupo??
Kaka?, Dada?, Mjomba?
Watoto wako watakuwa hawana chao na mama atakuwa hana nguvu ya kuwapambania.
Tuangalie mbali zaidi ya tamaa zetu
Mimi mke wangu hata asipogusa chochote kama housegirl yupo na kufanya kazi yake vizuri, nitampongeza mke wangu kwa kusimamia vizuri huyo housegirl.
Mwanaume ni kichwa cha familia mwanamke ni mwili..
Mwanaume (Kichwa) hufikiria, kuweka mipango na kutafuta njia..
Bila mwanamke (mwili) thabiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.