Recent content by MREMBO WA AFRIKA

  1. MREMBO WA AFRIKA

    Majaliwa: Ajira mpya za Walimu ni Julai 2016

    Huwezi kua serious... cjawahi kusikia mwalim wa mathematics kakosa ajira. Au unatafuta hapo kjjn kwenu tu?hzi fedha za bundle kila siku ni mtaji tosha .
  2. MREMBO WA AFRIKA

    Kiwanja kinauzwa Kiluvya kwa Komba

    Biashara yoyote ni bei.nn maana ya online business? Weka unachouza na bei
  3. MREMBO WA AFRIKA

    pata line za wakala zikiwa tayar kwa majina yako

    Mi Niko moshi ..ntapataje nahitaj mpesa
  4. MREMBO WA AFRIKA

    Ana sifa zote za kuwa mke bora, lakini hapendi kabisa kufanya mapenzi

    Ndoa CIO tendo LA ndoa tu kuna mengine ya muhimu kama uliyoyataja.kua makini na maamuz yako maana unaweza ukamwacha afu ukaangukia pua
  5. MREMBO WA AFRIKA

    Wadada wengi mjini wana pesa, maisha mazuri, magari, wamesoma lakini hawaolewi

    Wengine wanakuwa wametendwa sana anaamua kutafuta maisha yake na hawana imani na wanaume ndo maana wanaamua kuishi hivo..msiwalaumu sana coz sio kila MTU amepangiwa kuoa au kuolewa
  6. MREMBO WA AFRIKA

    Wanaume tunatia aibu

    Kuna baadhi ya kaz ukifanya zinakushape tabia kama ya ualim...ila kwa nn waalimu hao wanaonekana ndio wake bora wanaishia kuzaa na sio kuolewa??
  7. MREMBO WA AFRIKA

    Hivi kosa langu ni nini katika haya yote?

    Kosa lako ni kwenda kwa Mariana ukifikiri ndo suluhisho...hicho ulichopata kitaishia kwa Mariana yy hatakusaidia hata kidogo.ukiona mwanamke Yuko na ww na anajua ww ni mume wa MTU ujue kafata pesa tu hapo na zikiisha ataenda kwa mwingine mwenye nazo. Msamehe mkeo mlee watoto katika maadili mema.
  8. MREMBO WA AFRIKA

    Nitabadilisha wanawake hadi nipate asiyeomba pesa kila siku

    Mi nafkiri ww ndo unakosea unapoaproach;unajinad kuwa mambo safi hvo lazma wakuombe pesa.mfate mwanamke ukiwa ww,usipende maisha ya kuigiza.wanawake wasiomba pesa mbona wapo.sio kla mwanamke ni tegemezi wengne wanajitegemea kwa kla ktu.
  9. MREMBO WA AFRIKA

    Walimu ajira mpya waliokosa mshahara wa mwezi huu

    tatzo ni kwamba hawa waalimu walifurahia kurudi makwao kabla ya kujua hatma yao mapema..sasa ukiambiwa hujafanya kaz kwa hyo hutalipwa utalalamika?na utafuatiliaje tatzo lako ukiwa nyumbani?ni vema mkaenda mlikopangwa kufuatilia la sivyo mtaishia kulalamika jf .
  10. MREMBO WA AFRIKA

    Jamani naombeni ushauri kwa hili

    ushawahi kumuona huyo mamamkwe?? Una uhakika kuwa anaumwa kweli? Jaribu kuwa na uhakika kabla ya kutuma pesa kiholela ..c unajua hapa mjn twasaka hela?? Honestly nachukia sana hii tabia ya wakwe kupenda kuwa tegemezi.
  11. MREMBO WA AFRIKA

    Njia za kujiendeleza kwa mwalimu wa ngazi ya cheti

    Kama unataka kuendelea na ualimu tafuta crdt kwanza
  12. MREMBO WA AFRIKA

    Walimu Wanaokwenda Kusoma Bila Ruhusa Ajira Mashakani

    haki huwa inatafutwa hapa tz ,ukisema usubr haki utazeeka unasubiri
  13. MREMBO WA AFRIKA

    Walimu Wanaokwenda Kusoma Bila Ruhusa Ajira Mashakani

    kama umepata mkopo nenda kasome ukimaliza utapata ajira tu na sio lazima urudi serikalin ,hzo pension mnazojidanganya nazo hata private school zipo...au unasubr had serikal iwarudishe kufundisha primary
Back
Top Bottom