Jamani naombeni ushauri kwa hili

Jamani naombeni ushauri kwa hili

We mtumie tu pesa,kisha andika kwenye daftar,siku ya kutoa mahari unapunguza hela yako uliyokua unachunwa
 
Modern world!
Hujapeleka hata posa mama anakupigia simu za salamu mpaka kuomba msaada!
Bint aki conceive mama atahoji kweli?
 
Pole chuma ulete. Nimekumbuka issue ya mchune kama mbuzi wa vingumguti.
 
Inamaana hata siku ya kwenda kutoa mahali utakuja kuuliza kama utoe au usitoe? BTW,kutoa ni moyo, toa kulingana na uwezo wako, kuwa sehemu ya msada sio mbaya.
Kutoa mahali ndio nini tena mkuu!
 
Habar wa wanajf, mimi kuna mschana nimetokea kumpenda anaishi dar na mm pia naish dar,ila yy wazaz wake wako masasi mtwara;Sasa yeye kawambia ndugu zake wote kuwa kapata mchumba,sasa mama yake na huyu msichana ananipigiaga cm mara kw mara, sasa leo mama yake kanipigia cm kuwa anashida ya pesa eti tumbo linamuuma,je nimtumie au nifanyeje?naomben ushaur wenu wana jamvi

Eh huyo mam kiboko ata mahari hujapeleka ashaanza kuomba hela anaumwa tena directly loh..bora angemwambia ata mwanae amuombee basi....afu usikute haumwi, anasoundsoundije kwa simu ka mgonjwa au? Lakini ntu wewe ushapenda ntumie tu mama ntwara huko
 
Habar wa wanajf, mimi kuna mschana nimetokea kumpenda anaishi dar na mm pia naish dar,ila yy wazaz wake wako masasi mtwara;Sasa yeye kawambia ndugu zake wote kuwa kapata mchumba,sasa mama yake na huyu msichana ananipigiaga cm mara kw mara, sasa leo mama yake kanipigia cm kuwa anashida ya pesa eti tumbo linamuuma,je nimtumie au nifanyeje?naomben ushaur wenu wana jamvi
ushawahi kumuona huyo mamamkwe?? Una uhakika kuwa anaumwa kweli? Jaribu kuwa na uhakika kabla ya kutuma pesa kiholela ..c unajua hapa mjn twasaka hela?? Honestly nachukia sana hii tabia ya wakwe kupenda kuwa tegemezi.
 
ushawahi kumuona huyo mamamkwe?? Una uhakika kuwa anaumwa kweli? Jaribu kuwa na uhakika kabla ya kutuma pesa kiholela ..c unajua hapa mjn twasaka hela?? Honestly nachukia sana hii tabia ya wakwe kupenda kuwa tegemezi.

Asante dada kwa ushauri wako dada
 
Tunatofautiana makabila,wengine wanapima kwa njia hiyo una upendo kiasi gani kwa wazazi wa huyo binti,isije ikawa umependa tunda na si mti wake.Kwa hiyo we tuma kuonyesha upendo hata msichana mwenyewe atakukubali.
 
Tunatofautiana makabila,wengine wanapima kwa njia hiyo una upendo kiasi gani kwa wazazi wa huyo binti,isije ikawa umependa tunda na si mti wake.Kwa hiyo we tuma kuonyesha upendo hata msichana mwenyewe atakukubali.

Nashukru sana mkuu kwa ushaur wako mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom