Recent content by Mrao keryo

  1. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mke wangu tuna watoto 5 .ila baada ya kujiridhisha kuwa anatembea na jamaa tena mtu aliemzidi umri zaidi miaka 25 ,sasa huu mwaka wa 6 naishi nae ila sijawahi kugusa uchi wake. Wanawake asilimia kubwa ni wapumbavu sana!
  2. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Utaratibu uliopo uendelee! Wakija wote hapo Magufuli hapatatosha
  3. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Kama unaona bei kubwa unaweza kwenda kulima ya kwako
  4. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa kutozima simu usiku: Daraja la Wokovu Wakati wa Dharura

    Mimi ukweli madeni ya mtandaoni yamezidi,nadaiwa na kila mtandao! Nikiona namba ngeni tu mavi yanagonga chupi
  5. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: ACT- Wazalendo kusaini Maridhiano na CCM kesho Julai 9

    Njaa ni mbaya unaweza kula ulimi wako
  6. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya facts kuhusu nyoka

    Aisee
  7. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Ni dhahiri Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yamevurugika

    Hii nchi imeingiliwa
  8. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Bado haitasaidia
  9. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Kusudi la kuwepo duniani ni lipi?

    Mimi ndo maana siumizi sana kichwachangu kusaka mahela
Back
Top Bottom