Kwa hiyo unamaanisha hii wanaipanga kwanza kati ya majaji na hiyo jamhuri ndo wanaamua kesi iweje?mbona mlikuwa mnakataa kuwa mahakama ya nchi hii haiingiliwi?
Nimepita Songea mjini siku za karibuni Aisee nyumba zote zimegeuzwa fremu za biashara,hadi kituo kikuu cha police kumejengwa fremu za biashara kuzunguka eneo lote la kituo
Ukweli ni kuwa barua ya kujiuzulu Chimbi hajaandika yeye bali imeandikwa na wasiojulikana na ndo hao wanajua alipo mpaka sasa. Inasikitisha watanzania tumetulia tuli kama hakuna kilichotokea
Inashangaza kwa kweli!mwaka jana nilikuwa kwenye msiba wa kanali mstaafu wa jeshi,basi wakaja kikosi cha JWTZ kwa ajili ya kupiga mizinga.kabla hawajaaza wakatoa taarifa kuwa mtu yeyote asirekodi yale matukio wala kupiga picha na kama kuna ambae amerekodi au kupiga picha afute haraka!sasa mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.