Recent content by Mrao keryo

  1. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Kwa hiyo unamaanisha hii wanaipanga kwanza kati ya majaji na hiyo jamhuri ndo wanaamua kesi iweje?mbona mlikuwa mnakataa kuwa mahakama ya nchi hii haiingiliwi?
  2. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Polisi form four failure wanataka kumuua Daktari Bingwa

    PoliceCCM
  3. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Hii ya leo kali sana sana

    Huyo askari hana mazoezi halafu anachukua funguo za gari ya raia asiemjua?
  4. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania ACT: Tunapinga mpango wa DC Temeke kufuta Kata 10 ili kupisha Bandari Kavu, wamenogewa na biashara

    Tukisema nchi imeuzwa hamuelewi tuu
  5. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Dunia ikuchanganye na mwanamke naye akuchanganye !

    Kwa kweli
  6. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani ni lazima kila nyumba inayotazama barabara, iwe na fremu ya duka?

    Nimepita Songea mjini siku za karibuni Aisee nyumba zote zimegeuzwa fremu za biashara,hadi kituo kikuu cha police kumejengwa fremu za biashara kuzunguka eneo lote la kituo
  7. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Wait a Minute: Hivi Tunajuaje kuwa kweli Nchimbi Alijiuzulu Umakamu wa Rais?

    Ukweli ni kuwa barua ya kujiuzulu Chimbi hajaandika yeye bali imeandikwa na wasiojulikana na ndo hao wanajua alipo mpaka sasa. Inasikitisha watanzania tumetulia tuli kama hakuna kilichotokea
  8. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Waliochangia Mabilioni Kampeni za CCM ndo wenye ICD katikati ya Mji Dar

    Ni kweli kabisa! Mimi mmojawapo wa waathirika wa hapo kurasini. Daa Mungu anawaona nyie ccm
  9. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Ndejembi apitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais

    Hilo bunge halina uwezo wa kukataa huo uteuzi. Bunge la chama kimoja
  10. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Warioba : Namfahamu Nchimbi sio chawa

    Anashauri nini kifanyike?
  11. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania CCM Fahamuni kabisa: Kilichofanywa na Asha Rose Migiro ni uhaini na atakilipia

    AMINA.maana yake na iwe hivyo
  12. Mrao keryo

    JamiiForums Tanzania Yajue maeneo ambayo ni marufuku kupiga picha Dar es Salaam

    Inashangaza kwa kweli!mwaka jana nilikuwa kwenye msiba wa kanali mstaafu wa jeshi,basi wakaja kikosi cha JWTZ kwa ajili ya kupiga mizinga.kabla hawajaaza wakatoa taarifa kuwa mtu yeyote asirekodi yale matukio wala kupiga picha na kama kuna ambae amerekodi au kupiga picha afute haraka!sasa mi...
Back
Top Bottom