Asante sana mkuu,yote uliyoeleza ndo hali niliyonayo,Mungu akubariki sana kwa ushauri mzuri sana.kwa sasa nipo Kilimanjaro nitajitahidi wakati natumia aloevera kama alivyonishauri mdau mmoja hapo juu niende hospital
Barikiwa sana mkuu
Wakuu wa JamiiForums natumai hamjambo wote humu!kama kuna mwenye changamoto kama mimi basi Mungu ampe uponyaji.Amina! Kwa miezi ya karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kinyama kinashuka kutoka njia ya haja kubwa hata sijui ni ugonjwa gani?wakati kama nimesimama muda merefu au kutembea kwa muda ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.