Recent content by Mrao keryo

  1. Mrao keryo

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Wote wanaonyamazia madhila anayopitia mh. Tundu Lissu hawatakua salama
  2. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Asante sana mkuu,yote uliyoeleza ndo hali niliyonayo,Mungu akubariki sana kwa ushauri mzuri sana.kwa sasa nipo Kilimanjaro nitajitahidi wakati natumia aloevera kama alivyonishauri mdau mmoja hapo juu niende hospital Barikiwa sana mkuu
  3. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Masongalele ndo yapi hayo mkuu Asante sana mkuu kama ni aloevera za porini ninazo!nashukuru nitaitumia
  4. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Asante sana mkuu
  5. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Amina Amina asa mkuu
  6. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Mungu akujalie mkuu uyakumbuke,ikiwezekana na picha.Asante
  7. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Nipo Kilimanjaro mkuu,msaada tafadhali
  8. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Asante mkuu Sawa mkuu,
  9. Mrao keryo

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Wakuu wa JamiiForums natumai hamjambo wote humu!kama kuna mwenye changamoto kama mimi basi Mungu ampe uponyaji.Amina! Kwa miezi ya karibuni nimekuwa nikisumbuliwa na kinyama kinashuka kutoka njia ya haja kubwa hata sijui ni ugonjwa gani?wakati kama nimesimama muda merefu au kutembea kwa muda ndo...
  10. Mrao keryo

    Salum Mwalimu amuoa, Moza Ally aliyekuwa mgombea ubunge CHAUMMA Kinondoni

    Huko CHAUMA ni uhuni tu ulikua unafanyika/umalaya umalaya tuu
  11. Mrao keryo

    Wote tulio na miaka 40+ tutakufa ndani ya Miaka 20 ijayo

    Ukitaka kujua ukifa itakuaje kwako soma Kitabu cha kumbukumbu la Torati sura yote ya 28.Amina
Back
Top Bottom