Na nyinyi msiseme tu wanawake wanadharau mm binafsi cpendag shobo za kijinga km mwanaume zingatia mipaka yako mnavuka mipaka Sana unakutana na mtu vzur unamuheshimu vzuri jioni anakuita lodge lazima nikuzarau ukiangalia umri wa baba ako badilikeni
Pia kama unatabia ya majigambo kwa wateja na watu wako wakarbu majirani ofisini ndugu wako acha hii tabia uua biashara kwa haraka kutambia watu unachopata siku zote ili uone faida onesha kwa wateja hupati faida yeyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.