Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,958
Huu uzi haujawahi kuwa na majibu ya moja kwa moja!
Uzi umejaa questionnaire
Uzi umejaa questionnaire
1.2m mpaka 1.5m urefu,1.0 mpaka 1.2m upanaOkay mkuu tuachane na vipimo vya choo, naomba unipatie makadirio ya ujenzi.
Kama hutojali naomba unipatie kipimo halisi cha choo
Asante mkuu1.2m mpaka 1.5m urefu,1.0 mpaka 1.2m upana
😁😁Swali lako ngumu coz gharama za ujenzi utegemea finishing
Kuna faida nyingi za kuuliza hapa. Jamiiforums ina mafundi, wataalamu wa majengo na wataalam wengine.Mleta mada unaishi msituni? Serious umeshindwa kuuliza hata mafundi wanaopita na vifaa vyao vya kazi huko barabarani?
Mwisho utakuja kutuuliza namna ya kumgegeda kwa ufasaha mkeo.
Jiongeze jombaaa!))
Natumaini umeshamaliza ujenzi mkuuAsante mkuu
Bado mkuu! Mungu akijaalia mwakani ntaleta mrejesho.Natumaini umeshamaliza ujenzi mkuu
Thanks mkuuEstimate 5m mpaka na umeme
Duuh chumba cha tofali 300 kighalimu 5 mil mbona munawaigopesha watuEstimate 5m mpaka na umeme
Mkuu, 'mwakani' ndio hii...Bado mkuu! Mungu akijaalia mwakani ntaleta mrejesho.
Mkuu, 'mwakani' ndio hii...
Tupe mrejesho!
Kuna faida nyingi za kuuliza hapa. Jamiiforums ina mafundi, wataalamu wa majengo na wataalam wengine.
Tatizo la mtoa mada limewasaidia wengi kupata makadirio ya gharama za ujenzi.
Sio watu wote wanauzoefu na mambo ya ujenzi.
Kuuliza si ujinga, mtoa mada yuko
Mtoa mada kasaidia wengi sana , ikiwemo bunafsiMleta mada unaishi msituni? Serious umeshindwa kuuliza hata mafundi wanaopita na vifaa vyao vya kazi huko barabarani?
Mwisho utakuja kutuuliza namna ya kumgegeda kwa ufasaha mkeo.
Jiongeze jombaaa!))
🤣🤣🤣Choo cha 0.5m unaingiaje kamanda? Hata ukisema uingie kiubavu ubavu hupiti
Sent using Jamii Forums mobile app