Huyu ni TAPELI tangu mwanzo. Aliwahi kuwa na kesi kubwa tu Mahakama ya Kisutu kwa kumtapeli mkurugenzi wa halmashauri moja, alishinda kesi technicality tu, lakini ni TAPELI.
Sasa mbona Kuna wahujumu uchumi wengine waliiba pesa nyingi kuliko yeye lakini wameachiwa huru kwa kulipa pesa walizoiba? Kwa hiyo Kuna udouble standard , nae angepewa fursa ya kukiri kuiba na arudishe pesa alizoiba aachiwe huru, vinginevyo hiyo Sheria ya kukiri kuiba na kurudisha pesa Ife iwe...
Nani amekuambia kwamba Chadema mwishowe huwa hawashindi? Ukweli ni kwamba Chadema huwa wanashinda lakini nyie maccm kwa kushirikiana na Time na Polisi unadhulumu ushindi huo.
Raisi ameonyesha wapo watu wa kupelekwa mahakamani wanapofanya uhalifu na wapo watu ambao hata wakifanya uhalifu mkubwa kiasi gani kwa amri yake hawatashitakiwa, hii inaitwa DOUBLE STANDARD.
Ndugu yote uliyoandika ni sahihi sana. Ndugai hakustahili kuwa spika kabisa, ni mvunjifu wa katiba, amekuwa dhaifu sana kiasi kwamba badala ya bunge kuisimamia serikali, serikali ndiyo inalisimamia bunge kwa mkono wa chuma. Yaani Nyerere angefufuka akaona mambo ya hovyo anayofanya spika huyu na...
Mungu hana muda wa kupoteza kwa wajinga wasioweza kujisaidia halafu wakaomba kwa sala kwa huyo mungu. Wewe jipe moyo tu, utazikwa na watu 10.
Sent using Jamii Forums mobile app
Your Lord, sasa kilichobaki ni mahakama ku-strike out mashitaka yote ambayo hayana mashiko kwa kisingizio cha "upelelezi haujakamilika", ndio utaeleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.