DC Muro matatani kwa deni la miaka mitatu

DC Muro matatani kwa deni la miaka mitatu

Huyu DC anatia aibu,hata kwenye kampeni haisaidii chama zaidi ya kuiangamiza.
Mrushi na mdhulumu
 
Utaratibu wake wa kulipa ni mzuri tu, deni linalipwa unapopata pesa mdai awe mvumilivu tu.
 
Ukiona manyoya ujue kaliwa, ukiona hivyo hjue kunawatu hawapumui vzr muro kawakaba kisawasawa!!
Kuna mlevi alisikika akisema jery hatakiwi na wameru, cjui wameru wanamtaka lissu!! Huyu nae eti mulo anadaiwa, muro chapa kazi.
 
Why wamelete kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi isiwe huko nyuma? Wanajua jery ni chuma muhimu linapokuja swala La ushindi wa ccm
Wanaogopa ukija uongozi mpya pengine asiwemo kwenye ulaji.
 
Hilo duka sio la kununua kitu....yaani ni wambea na wanafanya defamation.
Waende mahakamani !!!
by the way hiyo bei ya TV 65" ni sahihi?
 
Hawa si wana mishahara mikubwa na posho kibao,anashindwaje kulipa deni hilo??.Hii ni aibu kwa Rais na kwa Taifa kuwa viongozi wetu wa juu sio waaminifu.
 
Huyu ni TAPELI tangu mwanzo. Aliwahi kuwa na kesi kubwa tu Mahakama ya Kisutu kwa kumtapeli mkurugenzi wa halmashauri moja, alishinda kesi technicality tu, lakini ni TAPELI.
 
Mahakama gani inapokea kesi za madai kidogo hivyo? Kama amepunguza mpaka ikafika hapo ilipo waendelee kushirikiana atalipwa tuu. Hata hivyo kumtangaza mdeni wako inaweza kusa sababu ya kutokulipwa kabisa na ikibidi ulipe na fidia
Hapo umeaongea kitu cha msingi sana kwa sheria zetu, labda wamshitaki kwa Jiwe. Kwani wakienda mahakama ya mwanzo Muro anawakili atagoma kwenda kusikiliza kesi ,kwakuwa anawakili watatakiwa kufungua kesi kuanzia mahakama ya wilaya, wakienda kifungua mahakama ya wilaya wataambia kesi zinazofunguliwa ni za kuanzia shilingi Milioni 200.Wakienda polisi wataambiwa ni kesi ya madai kwakuwa alishalipa kiasi cha deni. Kesi imekufa
 
Back
Top Bottom