<br />
Taarifa iliyoambatana na majina ya waliochaguliwa kujiunga kwa udhamini wa serikali ilibainisha kuwa tar 18 chuo kinafunguliwa kwa masomo ya diploma ila hadi hivi sasa majina ya private sponsored students hayajatolewa huku website ya chuo ikiwa haifunguki kwa takeibani siku tano sasa...
Taarifa iliyoambatana na majina ya waliochaguliwa kujiunga kwa udhamini wa serikali ilibainisha kuwa tar 18 chuo kinafunguliwa kwa masomo ya diploma ila hadi hivi sasa majina ya private sponsored students hayajatolewa huku website ya chuo ikiwa haifunguki kwa takeibani siku tano sasa.
Taarifa...
c and p
Shambulio la Mbunge Tundu Lissu henda tukaliona kubwa sana ila kama watanzania ni waungwana tujikubushe athari ya yaliyotokea kibiti.
-JUMLA YA WALIOKUFA NI ZAIDI YA AROBAINI.
-Wote walikuwa ni viongozi wa serikali na chama na 17 walikuwa ni askari polisi.
-wastani wa utegemezi...
hamna lolote ni umoja tu wa watanzania maana huwa tunaungana palipo na shida. wengi wenye mawazo hasi dhidi ya hili wanakaa kimya ili kulinda usala wao.
Usizani hizo pole ni za wema nyingine ni za kuonesha tupo pamoja kimtandao tu. ninaona kabisa we ni mmoja wa wale wanoishutumu serikali juu...
utoto sio umri ni uwezo wa kupambanunua mambo. umenesha kiasi fulani una dharau kwa kuwaona wadogo hawana akili au utashi wa kufanya mambo ya tofauti na ya maana.
ingefaaa kama ungenikosoa kuwa nipost kitu kinachofanya nionekane mtoto. by the way hoja hoja hoja life goes on. feel free sorry...
hiv maserati una akili timamu kweli tangu nimepost huna la maana ni kumtusi ndugu yangu. kumbuka leo na kesho. kukaa kimya ni vyema kuliko kuuzi watu. kwani ungepita tu usicoment ningepungua nini.
Kama umesoma vitu hivi aluvyogundua mzungu ukajiona una akili sana wewe ndio zwazwa plus...
Japo tunatofautiana kwa hoja ila nakutakia upone haraka.
Addition point.
Mwl Nyerere aliwahi sema "mtapata watetezi wa mabepari humu humu"
Jioni tulivu kabisa[emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25] [emoji25]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu poleni na majukumu.
Nina ndugu yangu hapa kashindwa kuendelea na chuo mwaka ujao wa masomo, alikuwa anachukua with education MKWAWA. Matokeo yake ya kidato cha sita mwaka 2015 ni
GEO B+
HIST B
ECO C
GS C
BAM F
1.ataruhusiwa kuaply tena chuo cha serikali kwa mwaka huu wa masomo?
2.je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.