mr wilehard
Member
- Jun 29, 2015
- 49
- 23
Taarifa iliyoambatana na majina ya waliochaguliwa kujiunga kwa udhamini wa serikali ilibainisha kuwa tar 18 chuo kinafunguliwa kwa masomo ya diploma ila hadi hivi sasa majina ya private sponsored students hayajatolewa huku website ya chuo ikiwa haifunguki kwa takeibani siku tano sasa.
Taarifa iliyotolewa kwenye majina ya waliofanikisha maombi ilisema majina ya waliochaguliwa yatatoka mapema mwezi wa tisa.
waombaji wanomba kwa yoyote mwenye taarifa kuhusu yanayoendelea MUST awajulishe.