Recent content by mr who

  1. M

    Madiwani Shinyanga wabariki mradi wa mashoga na machangudoa

    Atakayetaka audio za mkutano huo, mi ninazo,
  2. M

    Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

    Kwanza kabisa pole kwa wafiwa na jamaa, Ila mi hapo kwa maoni yangu inaoneka kuna utata kwa suala hilo la kujinyonga, Kwanza angali mwili huo ulivyo ninginia hapo, ukiusimamisha wima, unazidi urefu wa kamba, Pia miguu inashuka chini ya msingi, hivyo mi mawazo yangu, hebu polisi wafanye uchunguzi...
  3. M

    Picha: Mkutano Wa ACT-Wazalendo, Shinyanga (Tarehe 19 Aprili, 2015 )

    yangu macho na wanasiasa na siasa!?,Cuf kilisemwa CCM b,leo kipo UKAWA na nccr,chadema? Tunaambiwa ACT.ni tawi la ccm,je na wao wakijiunga?ukawa yote itakuwa ni ccm ipi?
  4. M

    Wito kwa Bunge la Katiba: Kura iwe ya Siri kwasababu Hakuna aliyetumwa na Watu Kuwawakilisha!

    yangu macho ila naona hapa kuna kamchezo kachafu.:nono: akili inagoma kukubali eti kula za wazi
  5. M

    Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

    hoja dahifu kabisa, kuanzisha chama na malengo ya chama ni tofauti kabisa,CCM na CHADEMA ni vyama ambavyo waasisi wake walikuwa na malengo, Nyerere alikuwa na lake moyoni japo alishirikisha waislamu,na ndivyo ilivyokuwa kwa Mtei, Chadema baada ya kupata nguvu na hapo ndipo lengo likatimia...
  6. M

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Kwa maokosa gani<hebu tujuzeni kwa kututajia makosa yake
  7. M

    Kwanini yai la kuku liwe juu kuliko..............

    Kwanini yai la kuku liwe juu kuliko mayai ya ndege wengine? Je yai la bata,kanga,buni hayana vitameni sawa na la kuku? Naombeni majibu wataalmu wa vyakula
  8. M

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    kwa ujinga huu hiki chama CCM kitaendelea kutawala nchi hii,km wapinzani hawatabadilika, mnaanza kuzozona na kuamcha adui katulia,UJINGA
  9. M

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    upuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzi kabisa tangu bungeni kuwe na eti kambi ya upinzai, hutuba zote hakuna hata moja unaweza ukaichukua na kuifanyia kazi,UTOTO umejaa sana katika bunge hili,hakuna tena hoja za kitaalamu zaidi ya ,KEJELi,MATUSI,KASHFA, na kwa kuwa wengi wa wafuata siasa za sasa wanaakili za...
  10. M

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    LOWASSA akienda kanisani sawa<KIKWETE naye akienda makanisani sawa, SLAA akienda makanisani sawa, ILA LIPIMBA kosa kwenda msikitini KOSA, kwanza waislamu wenyewe wapo wachache(sensa)sasa mnaogopa nini?
  11. M

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    CHADEMA ACENI WOGA, MBONA KANISA LILIFANYA JUU CHINI NCHI hii isitawaliwe na muislamu?na nyie chadema mlikuwa mpo mbele makanisani na maaskofu kutoa hutuba, naunga mkono, CUF waislamu, CHADEMA wakristo
  12. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    mimi nilikipata hapa mwanza katika duka moja maeneo ya posta ya zamani,ila kwa dar ukienda maenep ya msikiti wa mtoro,unaweza kipata
  13. M

    Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

    kwa upande wangu nimeanza kuufuatilia mnakasha huu kwa muda mrefu sasa na kuchangia mara chache ili niweze kupata usahihi wa magagaziko yangu,ila nimeona ya kwamba muhammed said katumia muda mwingi na ufahamu wake wa historia ili kuweza kupata picha sahihi,na mpingaji wake katumia muda wa...
Back
Top Bottom