hoja dahifu kabisa, kuanzisha chama na malengo ya chama ni tofauti kabisa,CCM na CHADEMA ni vyama ambavyo waasisi wake walikuwa na malengo, Nyerere alikuwa na lake moyoni japo alishirikisha waislamu,na ndivyo ilivyokuwa kwa Mtei, Chadema baada ya kupata nguvu na hapo ndipo lengo likatimia...