Recent content by Mr.Wenger

  1. Mr.Wenger

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Kuna watu kiasili kabisa wanapenda vitu used, mkuu oa tu akizingua unampiga chini unatafuta mwingine
  2. Mr.Wenger

    Who benefits from Marriage?

    Mwanaume ukishazeeka unakua useless hasa ukiwa masikini, mkeo hatoona tabu kuwa mbali na wewe hata mwaka mzima. Lkn ujanani atakuganda kama kupe, ukichelewa kurudi home ataanzisha mgogoro ili mradi usimponyoke aendelee kukunyonya
  3. Mr.Wenger

    Nilifanya mapenzi kinyume na maumbule 2016, mwaka huu imemfanya mchumba wangu kuniacha kabla ya ndoa!

    Mbaya zaidi tunaambiwa tutoe mahari, wakati hiyo ni takataka hata bure haifai
  4. Mr.Wenger

    Mwanaume usiendekeze majukumu

    Kweli wanaume tujikumbuke na sisi, kuna wakati unaangalia kabati lenu la nguo unaona lote limejaa nguo za mwanamke, za kwako chache unaishia kuzitundika kwenye henga
  5. Mr.Wenger

    Wanaume, heshimuni urafiki hii sio Sawa

    Yaani kuninyima umeona haitoshi umekuja kunitangaza na huku, haya bana 😭
  6. Mr.Wenger

    Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

    Mkuu unaonaje tukakuzika mapema halafu ndo sherehe za msiba ziendelee mwezi mzima? Watu wana majukumu yao mengine acha wawahi kuondoka halafu wale wasio na shughuli za kufanya wabaki hapo msibani mwezi mzima wakisheherekea, wewe kuwa na pesa isiwe sababu ya kupotezea watu muda. Imagine unapata...
  7. Mr.Wenger

    Mambo nayopenda kwa Waislamu japo ni Mkristo

    Huyo jamaa sio tu ni mtu wa hovyo yaani hana akili kabisa, matendo ya mtu mmoja anayaoanisha na uislam.
  8. Mr.Wenger

    Kuishi mjini ulikokuzoea vs kuishi nyumbani ulikozaliwa

    Miaka 18 ndani ya Jiji la dar lkn moyo wangu hauhisi kama nipo nyumbani. Umri ukisogea kidogo nitafungasha virago nirudi home mapenzi yalikozaliwa, kitu Cha kwanza nilichofanya ni kujenga nyumba nzuri ili nikirudi nisisumbue watu kwenye nyumba ya urithi
  9. Mr.Wenger

    Kilimanjaro: Ajinyonga hadi kufa kisa wivu wa kimapenzi

    Apumzike kwa amani, mbinguni hakuna usaliti
  10. Mr.Wenger

    Msaada: Naondoaje uraibu wa kusikiliza muziki?

    Japo sio mtu wa kwenda club wala music concerts lakini napenda sana kusikiliza music. Headphones kwangu hazikauki
  11. Mr.Wenger

    Ushauri: Ndugu wameharibu ndoa ya dada yangu

    Wanaume tunapitia mengi sana, imagine huyo dada kapewa mimba na mtu mwingine lkn anataka kumpatia mumewe mzigo wa malezi.
  12. Mr.Wenger

    Uchunguzi wangu unaonesha wanaume tunaongoza kuwafanyia ukatili, kuwaumiza na kuwasaliti wanawake

    Kama kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni uonevu kwa mwanamke, basi acha uonevu uendelee
  13. Mr.Wenger

    Kama unajijua ushampoteza mamayako mzazi usizae kabla hujaoa

    Umechelewa, watu wameshaharibu kitambo
  14. Mr.Wenger

    Aibu tupu!! Vyuo vya Tanzania mtu anasoma masomo ya biashara miaka mitatu na kulipa almost milioni 5 lakini hajui hata kufungua biashara

    Hii mifumo ya kisasa kama Tausi au Tax payer Portal haifundishwi darasani, ukija kitaa lazima uwaone magwiji wakufundishe, tena unaweza kufundishwa na mtoto wa form four [emoji3].
Back
Top Bottom