Recent content by Mr.Teacher

  1. Mr.Teacher

    Manengelo nakupenda

    Aise wewe sadari si mshikaji mmoja alikua anaitwa TWEVE tulikua tunapiga wote bachelor DSM, jamaa ndio alikua anajiita sadari mkuu Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  2. Mr.Teacher

    TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

    Woyooo woyooo hii ndio Yanga kudadeki Moro mpira Uturuki singeli
  3. Mr.Teacher

    TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

    Asante sana mkuu
  4. Mr.Teacher

    TPL: Simba SC vs Yanga SC - Sept 30, 2018 (FT: 0-0)

    Jamani naombeni muda
  5. Mr.Teacher

    Umemaliza chuo kikuu halafu hujawahi kulamba hata mmoja, utakua na akili timamu wewe?

    Kweli mkuu na maisha yenyewe ni mpwito mpwito aise. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mr.Teacher

    Umemaliza chuo kikuu halafu hujawahi kulamba hata mmoja, utakua na akili timamu wewe?

    Aise Darmian hii tabia ya kuvunjana mbavu acha bana, dah aise nimecheka sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mr.Teacher

    Mbeya haiendani na mahitaji yangu kimapenzi

    Rudi Arusha sasa kama jeuri unayo, maisha yenyewe mafupi sasa kwa nini usiupe moyo wako kiitajicho
  8. Mr.Teacher

    Anaye kopesha pesa kwa dhamana ya kadi ya gari

    Dah bro sasa siungesema na riba pia utatoa, mtu kutoa pesa apewe kadi ya gari na hata sio gari lenyewe badala ya kuweka pesa kwenye normal circulation mkuu, mimi umeshanikosa hapo
  9. Mr.Teacher

    Basi la Lim Safari kuelekea Arusha lapata ajali maeneo ya Msata mizani

    Ndio naenda kata ticket ya Dar kesho sasa kuna jamaa aliniambia Lim Safari lipo vizuri ila nimeshabadilisha naelekea KLM sasa.
  10. Mr.Teacher

    Wengi msichokijua kuhusu nyama ya mbuzi kwa Mrombo mkoani Arusha

    Aise nyama za pale ni moto wa kuotea mbali jamani, tunashukuru kwa maelezo yako as long as they prepared goat or sheep for us nothing wrong buddy
  11. Mr.Teacher

    Kama ulishawahi kunywa chai ya kuunguza Sukari tukutane hapa

    Ile chai mbona ilikua tamu sana, Mimi nimeinywa sana toka miaka ya 1984 kwani ndio kipindi ambacho nilikua nawai shule kama hakuna majani, mother anakaanga sukari faster kitu na box, umesahau pia ugali wa mboga ya kitunguu kitupu kinakaangwa, duh maisha haya yametoka mbali sana
  12. Mr.Teacher

    Rais Mstaafu Mkapa, ataka mjadala wa kitaifa kujadili hali ya elimu nchini baada ya shule za Serikali kufanya vibaya

    Aise umesema ndichi nikajua tu lazima unatokea Mbeya, nakumbuka nilisoma na jamaa Fulani kutoka mbeya chuo kikuu haya maneno alikua akiyatamka sana ndichi, chungama, nangai, mwake bigrai na mengine mengi
  13. Mr.Teacher

    Jiji la Mwanza vs Jiji la Arusha: Lipi ni zaidi kwenye hili?

    Jamani Arusha si lilishashindanishwaga na MWANZA na ARUSHA lilishinda kwa kila nyanja.
Back
Top Bottom