Mkuu wanaume wanaoacha mtoto au watoto kwa mke wake aliyeolewa na mtu mwingine huwa wanakimbia majukumu ya watoto wao hao wa nje. Afu mtoto akiwa mkubwa anakuja anamchukua na kuondoka naje ili kukata connection kati ya mtoto na step father. Ndo zao hao.
Ustawi wa jamii sijui wapoje.
Mimi niliona mdada mmoja hivi alilea mtoto pekeake mpk umri wa miaka 9.
Jamaa alikimbia mtoto tangu mimba.
Ustawi wa jamii walimpa mtoto na akatokomea nae huku mpk leo.
Sijajua wanatumia vigeo gani. Tena hawakufuata utaratibu wa kukomboa mtoto.
Nafikili rushwa...
Hpn.
Kwenye mali hio moja.
Huyu mzee alikuwa na mali zingine tena mkewe hakuhusika kwenye hizo mali.
Alikuwa ananyumba 4 ambazo waligawaana , na maeneo mawili zina maduka ( flame za maduka).
Na vitu vingine.
Ila hotel hii ndo ilikuwa ya mkewe.
Na nyumba mbili ambazo mdogo wao alizibeba zote.
Mrejesho
Thread 'MREJESHO: WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?' MREJESHO: WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?
Habari wana JF naleta mrejesho wa kesi ile ya mgogor wa urithi. Baba aliyezaa na wanawake tofauti.
Baada ya kwenda mahakamani ikaonekana ilikuwa ni kampuni na si mali ya mtu binafsi.
Na katika mgawanyo wa kampuni kuhusu share mke wa ndoa yani mke wa baba yao aliyezanaye mtoto mmmoja ambaye ni...
Mkuu DNA inamadhara sana usipokuwa makini ndo maana hata TZ ukitaka kupima DNA kuna mlolongo kinoma.
Sio rahisi ndugu watoke uko waseme huyu hakuwa mtoto wa kaka yetu. Unakithibitisho gani.
Hawakubali hivi hivi kupima DNA.
Hii hotel baada ya Baba kufariki familia mzima walishindwa kuafiki kwa sababu ilionyesha ni kampuni ya mke na mume yani mama ana percentage yake na baba anapercentage yale .
Ila nafikili hata wakubwa waliacha kwa sababu ya mama kumueshimu tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.