Hawa "wachambuzi" ni WAJINGA wakubwa! Hawajui wafanyacho! Waswahili tulishasema kitambo kuwa: JAMBO USILOLIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA, ila hawa watoto wenye mchanganyiko wa shahawa za wazungu wanajifanya wana akili za kujua hatari za pension bila hata kuwa nazo! Wanaboa sana
Unaongea kwa hisia! Hii inaonyesha huu mfumo umelenga kututawala. Mtu nimestaafu, siyo mtumishi tena halafu nimfatefate aliyekuwa mwajili wangu nimlilie anipe Ela ambayo yangu kaishikilia kama yake ilhali mimi siyo mfanyakazi wake!
Ujinga huu tusiutetee kwa kutumia "usomi."
Sijaitumia sana, ndo nataka kuanza kuitumia vizuri. Ila Quality ya picha hairidhishi kama inavyosifiwa na wengi. Nimeambiwa L805 Ina afadhali kuliko L850 katika suala la picha.
But all in all, iko vizuri katika documents nyingine kama copying, printing and scanning.
Naomba kujua aina gani ya Camera Ina quality nzuri ya picha zake. Nahitaji kuanza ka biashara kadogo ka kupiga picha na passports size.
Wazoefu wa mambo haya naomba mnisaidie Sasa nijue nanunua camera gani kwa kazi hii niliyoamua kuifanya na ikiwezekana, na Bei ya camera kabisa.
Nimenunua Epson L850, sasa baada ya kujaza wino wake, printer inaonyesha messsage hii: "See the setup manual to complete the initial ink charging."
Hapo sasa nimedata maana nilishamaliza kujaza wino na nimejaza kwa usahihi kabisa. Anayejua namna ya ku bypass hapa anisaidie,
Mwl.RCT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.