Recent content by Mr rocker

  1. M

    Ijumaa Kuu ya Pasaka nimeona jamaa wanatafuna nyama, tena 'mdudu'

    Hata mimi ningewakuta wanakula na mm ningeunga kambi kwasababu ishu ya kula nyama ijumaa kuu ni sheria ya wa roman catholic cyo ya wakristo wote kwasababu wengne tunafuata biblia na ukiisoma vzr hakuna kipengele kinachotaja nyama isiliwe ijumaa kuu kwahyo ndugu yng imani yako uciifanye kama...
  2. M

    Tanzania inagombana na Mungu, inaenda kulaanika

    Hivi unajua maana ya pasaka au na wewe unajilaani bure soma vzr biblia utajikuta unafuta huu uzi wako ulio kurupuka kuandika
  3. M

    Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

    nachukia watu wanao mlaumu majaliwa jiulize maswal haya kabla hujamlaum *majaliwa ni Pm ana pata taarifa kwa wakubwa zake *je kama mzee hakutaka itangazwe *na je kama walipanga kupunguza taharuki wakati ule +ukitaka kuamin angalia shahuku ya watanzania wakati ule alafu angalia muda waliokuja...
  4. M

    Majaliwa, Mwigulu; mkubwa akikosea huchutama, haikunyang'anyi ufalme wako!

    Sisi tutabaki tukimlaum pm na mwigulu ila tunasahau viapo vyao vinaahd kutunza Siri za serekal kwa namna yoyote ile pengine huenda mkuu hakutaka kutangazwa anaumwa Ndyo sababab na wao walitunza Siri Kama viapo vyao vinavyo taka shida ya sisi watanzania niwepesi Sana kuhukumu bila kufikiria Huyu...
  5. M

    Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

    Ngoja nikusaidie maana hii Kichwa yako inaonyesha ngumu kinyama cjui ulisoma shule gan Ni Akwilina akwilini Bisha tena
  6. M

    Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

    we uliyosoma Vipi tena mbn Hujui kuandika hebu Pitia hayo majina Uliyo yaandika Kama ni sahh Hauko makin bro unawenge na chuki zakipumbavu pevuka kuwa mtu Mzima utajua maana ya maisha ya dunia hii Uki nijibu ni we pimbi usipo nijibu umeniogopa Haka kamchezo hakahtaj hasira calm down
  7. M

    Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

    Watanzania Hatuna tamaduni hizo cjui nyie mmetoa Wapi hizo Roho Hakuna kiongoz duniani toka kuumbwa kwa ulimwengu amewah kuw mkamilifu Kwenye uongoz wake lazma awe na dosari lkn pamoja na yote amefany meng Sana watu wa Hali ya Chini na Wapend haki ndo wanaelewa Jinsi gn inauma kumpoteza Huyu...
  8. M

    Huyu mwamba namkubali sana

    Watu ni waongo mkuu kuna wngne wanasema vyanzo vya kuaminika ndo vimewaambia alafu Ukimkuta huyo anayekuambia anavyanzo vyakuaminika ni mchemsha Kahawa gengeni Eti anavyanzo vya kuaminika bongo bhna 😂😂 Aya Leo tumemuona huyo kaka Yupo hai yeye nayule mwenye sigda kwenye Paji La uso wako Ibadan...
  9. M

    ID yako ya JF utaiuza kwa shilingi ngapi?

    MI Nataka ya bujibuji Nna 50000 iko mfuko wa shati bujubuji Njoo Bro tuongee
  10. M

    Nina shida ya mawe kwenye nyongo

    Wakati mwingine kwenye heading unaandika "Nina tatizo La mawe kwenye nyongo" ukiandika nina shida ya mawe kwenye nyongo wengine watatafsiri pengine unayahtaj hayo mawe au unayatafuta any way pole ndugu utapona
  11. M

    Nashauri awamu ya sita agombee Rais Mstaafu Ndg. Jakaya Kikwete

    Yaan Kama kunawatu ni wanafik duniani ni watanzania mtu anathubutu kusema kikwete arudi madarakani Yaan wanasahau wale viongozi wao njaa kali walivyokuw wanambeza hadharani kwamba hafai Mara Hana msimamo, Hakai Tanzania akatulia anasafiri kilacku Mara nchi ilikuw masikini twiga wanabebwa kwa...
  12. M

    Natafuta kazi ya hotel mahali popote

    Ucjal kaka muulize Rama anaijua Vzr tuu Napia vyeti vyang vinajielez Vzr pia kama unaconnection nisaidie kaka Njoo hata dm
  13. M

    Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

    we ndo umetumia akili ndogo tofautisha chanjo na dawa uckurupuke Soma tena uelew swali
Back
Top Bottom