Habari za kutwa ndugu zng Mimi ni Kijana wa miaka 24 nimesomea mambo ya hospitality kwny kitengo cha hotel management Nna uzoefu wa kutosha kwny fani yangu nmefany kaz miaka icyopungua (4) kwenye hotel za Hadhi ya nyota 5 Nmeona niwashirikishe watanzania wenzangu mwny connection yoyote ani Dm ntamtoa kidogo nikifanikiwa mkoa wowote nafanya na cyo Lzm iwe nyota 5 lkn icwe guest house tu.
3.3.2021
- Nazungumza lugha mbili kiingereza na kiswahili
- Nina vyeti vyote Kwanzia sekondari hadi chuo
- Nina vyeti vya tuzo za Mfanyakaz bora
3.3.2021