Mkuu yaani kwa semina yako ya siku tano umetoa hitimisho ya research yako Duu...ok, kwa kifupi niijuavyo Iringa si kweli uliyoyasema hamna kitu ka hicho tena ungewajua wahehe kiundani nadhani usingeandika hayo ....mkuu
Wanakera sana hawa voda siwapendi ka nini na promotion zao za wizi....afadhari airtel mpaka ujiunge kifurushi unaingizwa direct ....sasa voda ni shida mpaka line yao situmii mpaka wamalize wizi wao huo
Sasa wewe utawajuaje ma intellegent wakati wewe ni wa kawaida sana wanakuona....ungekuwa smart and intelligent basi ungekutana nao wengi mkuu. Bahati mbaya unaweza sema ivo kumbe hata sehemu zako za ulizopita hajawahi kaa intelligent hata moja jaribu pia kucheki na vijiwe vyako na vyao ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.