Recent content by Mr PJ

  1. Mr PJ

    Napendekeza tupige marufuku dini zote na kurejea dini zetu asili

    Tunakumbuka shuka kumekucha, hizi dini wanaangalia maslahi yao tu na ni taasisi za kivita(gang) sio kiroho. Hiyo kujiita kiroho ni geresha tu kuteka akili zetu watu weusi.
  2. Mr PJ

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Ni kweli na mtu akiona hivyo anahisi mambo ni magumu ama anapata elimu bora kuliko kwingine kumbe wanaomsupervise hawapo seriously. Kwenye elimu ukiwa-commited wewe na supervisor wako mambo yanakwenda vizuri tu, ila mmoja wenu kati hapo akizingua utaona kila kitu ni kigumu. JamiiForums mobile app
  3. Mr PJ

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Shida ya watu wengi wanadhani kitu kufanywa kigumu ndio kwamba ni bora(si kweli). Duniani hakuna kitu kigumu, kinachofanya kitu kuwa kigumu ni uelewa wako tu kwenye hilo jambo. Kuna vyuo vizuri na bora kama Jordan navinginevyo ambavyo huwezi kuvisikia vikijimwambafai lakini vinatoa taaluma nzuri...
  4. Mr PJ

    Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

    Sawa alikua na madhaifu yake lakini unakosea kusema hakufanya lolote. Hakuna Rais ambaye hajafanya kitu kama kuna sehemu kulikua na changamoto iseme ili aliyepo nae arekebishe tusonge mbele otherwise hata huyu aliyepo akiondoka utasema hivyohivyo hakufanya kitu. JamiiForums mobile app
  5. Mr PJ

    Kiswahili cha bbc baada ya Zuhura Yunus & Salim Kikeke kuondoka

    Ukweli mchungu ni kwamba BBC Swahili imekosa mvuto siku hizi. Kuna siku wiki iliyopita walimuhoji Prof flani aelezee kuhusu tetemeko lililotokea Libya hata alivyoelezea ilikua balaa. Wajifunze kwa vipindi vilivyopita vya wabobezi ili waboreshe, wakiona ni majungu waache kufanyia kazi wanaenda...
  6. Mr PJ

    Mwamba aliewaliza Wazungu kwa Mgodi feki wa Dhahabu Geita

    Duuh, balaa hiyo hivi vipimo vya kupima eneo kama lina madini haviwezi kupima kiasi cha deposit pamoja na umbali? JamiiForums mobile app
  7. Mr PJ

    CHADEMA na TEC hawakutuma Mwakilishi kwenye Kongamano la Vyama vya Siasa?

    Wanamaslahi yao binafsi, sisi wananchi masikini tunaenda na wale wenye mtazamo chanya na wanapambania maslahi ya taifa. JamiiForums mobile app
  8. Mr PJ

    Tatizo ni Rais Samia, acheni kuwabebesha lawama wateule wake!

    Katiba mpya itakuja ila tunataka tuelewe hiyo iliyopo inasemaje, hatuna haraka tusije tukaandika katiba nyingine mbovu kuliko hii iliyopo. Mama endelea kutuletea wananchi maendeleo tunakuelewa sana. JamiiForums mobile app
  9. Mr PJ

    Serikali: Miji ya Arusha, Dar, Zanzibar na Dodoma kuipaisha Tanzania kuwa Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani.Ukumbi wa 2 kwa Ukubwa Afrika kujengwa

    Tofautisha idea na ujenzi. Usikurupuke sana kukimbilia kubisha soma taratibu utaelewa kisha unakujakutoa comment zenye tija.
  10. Mr PJ

    Serikali: Miji ya Arusha, Dar, Zanzibar na Dodoma kuipaisha Tanzania kuwa Kitovu Cha Utalii wa Mikutano Duniani.Ukumbi wa 2 kwa Ukubwa Afrika kujengwa

    Watu wanabishana bure lakini rasilimali zetu zimetawanywa kila mahali. Unaweza kumsema Rais vibaya kwasababu za kisiasa lakini ule ukweli anapiga kazi. Pia wawekezaji wanapowekeza sehemu wanategemea return ya hiyo investment. Kwamfano jengo lililozinduliwa juzi ni la PAPU AFRICA 60% ni hela...
  11. Mr PJ

    Siri mauaji ya bilionea wa madini na mwanaye

    Ama kuna dalali hapo walimzima chake akaamua kama mbwai iwe mbwai kwa kushirikiana na dereva.
  12. Mr PJ

    Serikali iangalie huduma ya mazishi kwa wasiosali/wasioamini dini

    Hakika iwe ni sheria na sio utashi wa kikundi fulani eneo maalumu litengwe.
  13. Mr PJ

    Chuki dhidi ya January Makamba inatoka wapi?

    Sometimes tunakua na chuki binafsi na majungu. Simtetei lakini lawama nyingine huwa anapewa asizostahili.
  14. Mr PJ

    Tafadhali CCM tusiwachukulie poa TEC. Kuwakabili hawa ni tofauti na CHADEMA

    Nawewe unaona umeandikia point. Kwamba Tanzania iongozwe na Vatican.
  15. Mr PJ

    Niambieni sio kweli Udanganyifu kwenye mishahara

    Sio kweli hujui kitu acha watumishi wenyewe waeleze usilete siasa uchwara kwenye haya mambo. Unaonekana kama unatetea ila kumbe unatetea usichokijua kisa ni kada ama unasaka cheo tu cha kisiasa. Kaa kimya. Barua zote za ajira na hata za kupanda vyeo zimeainisha nanukuu " your incremental date...
Back
Top Bottom