Recent content by mr pipa

  1. mr pipa

    Tajiri hununua mali,maskini hununua hisia

    sahihi utajr upo shambn
  2. mr pipa

    Sasa hivi kila sekta ngumu kutoboa ilikuwa rahisi 2012 kuja 2022

    Ndio mana sitak mambo ya biashara na kuajiliwa bora nidili na kilimo
  3. mr pipa

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Huu uz una harufu ya bangi pepo tokaaa mamame.... Ila bang nzur sana nilishawah kwenda kwenye intavuu moja watu mia mbil nafas 50 nikasema usinitanie nikavuta bang huyo kweny inatavuu fika pale naulizwa unauzoefu wa miaka mingap kwenye kaz, nikamjibu kwahyo asie na uzoefu wakafanye nini...
  4. mr pipa

    Kasema hanipi mpaka niende kwao kujitambulisha na Mimi nimemwambia siendi mpaka anipemo

    Mtoa mada shikiria bomba tena umuulize kama anayo bikra ila ukijilegeza tu mbele utakuwa mme bwege aka bushoke
  5. mr pipa

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Kama huna hela yote ni ubatili
  6. mr pipa

    Ukifanya vitu hivi vitakusaidia sana kwenye harakati zako za utafutaji au mafanikio

    Nimefanya yote hayo nikaambulia patupu
  7. mr pipa

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Wazee wa 80 kushuka mtu achie nchi mawazo yenu yamepitwa na wakati??
  8. mr pipa

    Simu Bora za Kununua nchini Tanzania kwa Mwaka 2026

    Bora ninunua gari huku kijijn kwetu hata uwe na simu ya milion mia wanaona ya laki unusu tu ila ukiwa na ka ast ka laki 8 wanakuona bonge tajiri
  9. mr pipa

    Niishije ishije kwenye hiyo miaka iliyobakia?

    Una miaka miwili
Back
Top Bottom