Huu uz una harufu ya bangi pepo tokaaa mamame.... Ila bang nzur sana nilishawah kwenda kwenye intavuu moja watu mia mbil nafas 50 nikasema usinitanie nikavuta bang huyo kweny inatavuu fika pale naulizwa unauzoefu wa miaka mingap kwenye kaz, nikamjibu kwahyo asie na uzoefu wakafanye nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.