Recent content by mr pipa

  1. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    aisee umefika mbali au na mi nikushushie matus ili tushindane nani zaid hahaha Mkuu maana yangu ni kwamba kila mmoja akisema ajichukulie sheria au maamuz kama yako itafikia hatua tutaishia jera na ref watu wanaua wanawake zao wengine wanaua waume zao asa kwann tufikie huko au we huoni athari zake
  2. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    aisee umefika mbali au na mi nikushushie matus ili tushindane nani zaid hahaha Mkuu maana yangu ni kwamba kila mmoja akisema ajichukulie sheria au maamuz kama yako itafikia hatua tutaishia jera na ref watu wanaua wanawake zao wengine wanaua waume zao asa kwann tufikie huko au we huoni athari zake
  3. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Unapofungua na kusoma post au comment za member mwenzako ni kipi cha kwanza unakiangalia na kuvutiwa kuisoma

    Mimi huwa naangalia mada zinazonigusa hisia kwa siku husika au muda husika wenye tukio husika mfano kama siku nimeamka nina hisia na mpira basi siku hiyo mada nitazozipa kipaumbele ni za mpira kama ni kuchapiwa ni hivyohivyo nk Na kingine ni ngumu kuanza kusoma use name ya muhusika wakati...
  4. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    ni kweli uzi wa kipumbavu haiwezekan una akili timamu akaja kujisifu huu upunga Vijana wa saiv hovyo kabisa tena utubu huo upuuz mamamamae, swal la nyongeza hv wewe hujawai kuchepuka au kucheat huko ulikokuwepo sema kweli ? Alafu nikupe kisa kwann huyo mkeo alifanya hayo mnahukumu binadam...
  5. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mpaka hapa nimesoma coment nimegundua wanaume wanaojitambua wapo wa 5 tu Mimi hata mkewangu akichepuka ni talaka tu sinaga mambo ya kugombania k
  6. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Vin Jr, afuta post zake zote instagram

    Maelezo hayajitoshelez ndugu mtoa mada
  7. mr pipa

    JamiiForums Tanzania TANESCO hivi ni sahihi taa 6 za watt 3 kula umeme unit 1 kwa usiku mmoja?

    ndugu mheshimiwa TANESCO dah aya sina neno ngoja nimlete fundi kwanza
  8. mr pipa

    JamiiForums Tanzania TANESCO hivi ni sahihi taa 6 za watt 3 kula umeme unit 1 kwa usiku mmoja?

    we jamaa wewe mungu anakuona
  9. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Sheria au makatazo nchini tanzania yanauzito kwa mwezi mmoja?

    nimeamua nitoe rushwa kupata huduma na picha nimepiga hakuna namna
  10. mr pipa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Hata Mkininyima Kura Malaika Wataniongezea, lazima nitashinda Urais

    Aisee sina neno
  11. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu huko kwao kuna supu ya utumbo?!

    sijawah kuvila kwa mchanganyo hivyo vitu
  12. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kwanini Sheria au makatazo nchini tanzania yanauzito kwa mwezi mmoja?

    ni binadam wanao dharauriwa na kila kiumbe nimeona nijari uwepo wao
Back
Top Bottom