Recent content by mr pipa

  1. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Mke siyo ndugu yako!

    Kazii ipooo wife nimemwambia sina mpango wa kujenga ukiweza tafuta mume mwingine mi acha nile maisha kwanza, so nasubir aondoke nijenge 😂😂😂
  2. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa sijamuelewa hebu msikilizini na wewe kwenye hiyo audio

    Ni oudio nashindwa namna ya kuiweka
  3. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa sijamuelewa hebu msikilizini na wewe kwenye hiyo audio

    Kama taifa tumefikia huku basi ni hatari
  4. mr pipa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    leo Kama arsenal hachani sijuiii
  5. mr pipa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Group sex inaongezeka kwa kasi hapa Bongo

    Conection mkuu nipe chimbo
  6. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Kama upo vijijin mbona ni hela nzuri sema nini akili mtu wangu
  7. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Ni mwana JF gani unadhania ana uwezo fulani wa kipekee wa ustadi fulani kutokana na michango na maandiko yake?

    Mimi ndio mtu nisie na chochote cha kujivunia hapa jf
  8. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Ni mwana JF gani unadhania ana uwezo fulani wa kipekee wa ustadi fulani kutokana na michango na maandiko yake?

    huu ulitakiwa uwe uzi na huu uzi ulitakiwa uwe coment ia ishakuwa tafanyae sasa
  9. mr pipa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tuwasupport Wasanii wanao chipukia (Underground)

    Kuna jamaa wa kuitwa NDENJII BN japo haelewek ila ana ka melody flan hv kazur saut yake ya kulia lia kwa wale wanaoumizwa kimapenz huyu mwamba mkimsikiza anaweza kukuliza kwa saut ake
  10. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

    Kilicho mfanya asikike kwa sasa niproduse
  11. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Kama ulipozaliwa ulikuwa hujui unatoka wapi kwanini basi tukifa tunaambiwa tunaenda mbinguni nk?

    Kwamba tunajua tunakokwenda na si tuliko Toka Yaan mnaijua kesho msioiona na sio Jana tulioitoka?
  12. mr pipa

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuaje mtoto anazaliwa anajua kunyonya kunya nk ila hamjui mungu mpaka afundishwe?

    Sio lengo lengo ni kuju Really coz nimekulia vijijin nakumbuka hakukuwa na madhebu zaid ya mila
Back
Top Bottom