Recent content by MR.P

  1. M

    Ujenzi wa ghorofa moja tu

    Unamaanisha nini Jane Lowasa kusema sio halisia??,,kwa uelewa wangu mdogo naona ni halisi ila tu ni 3D architectural design before implementation.
  2. M

    Ujenzi wa ghorofa moja tu

    Mkuu hongera sana kuwa na ndoto ya kumiliki ghorofa.Ukifanikiwa kuanza mchakato,karibu tuwasiliane kwa ajili ya kazi ya Structural design and drawings!pia ukihitaji ushauri wa kitaalam katika area hio karibu!
  3. M

    UDSM yazidi kuchanja mbuga katika nyanja za kimataifa kwa ubora wa elimu

    Kama mtu bado ana fikra za namna hii (chuo flani ni bora kuliko kingine) basi naweza kusema anahitaji ukombozi wa kifikra kwa kifupi hajaelimika na elimu yake haijamsaidia. Kutambua uwepo wa hizi Univ.Ranking na kwamba chuo gani ni no. ngapi ni sawa kabisa but kama...
  4. M

    Ni apps gani za android & iphone unazotumia au kujua

    ipo application inaitwa PDA NET na MY-WIFI for i-PHONE hizi zinakuwezesha kutengeneza wifi hotspot and u can share that wifi to your comp.and with ur friends.kwa maelezo mengine inakuwezesha kutumia internet ya simu(i phone) ktk compyuta yako na kuwagia wengine pia.
  5. M

    Architecture vs Civil engineering

    ok i don't know much about it ,but what i know it is not similar to structural and transport though keep in mind that all speciality in civil engineering share common background(mwanzoni course/modules zinafanana and mwishon ndo kunakuwa na utofauti). civil and irrigation is a speciality aiming...
  6. M

    Architecture vs Civil engineering

    Ni ukweli usiopingika kuwa both Arch. na civil ni field zinazotegemeana,ktk projects kubwa utakuta architect anaandaa architectural drawings,then civil engineer anaandaa structural drawings(columns,beams,stairs e.t.c) na QS(quantity surveyor) anafanya estimation ya materials na cost..kwa...
  7. M

    Wahitimu wa D.I.T wako fit pratically ukilinginisha na UDSM wanaosoma Engineering

    Hii mada siyo ya msingi kama aliyeileta ana mtazamo wa kiushindani zaidi, ila kama lengo ni kuelimishana hapo naweza toa mtazamo wangu..tatizo ni watu kushindwa kutofautisha malengo ya mafunzo husika/kozi,kwani huwezi kucompare mtu wa UDSM or DIT.Mfumo wa elimu ktk chuo cha UDSM unamuandaa...
Back
Top Bottom