kwa maslahi mapana labda ya chama sio watanzania. Sijajua nani aliwamezesha sumu hii, kutusemea ili hali mnachokisema hakitoki kwa watanzania bali kwako.
I continue to receive!!!! what does he think he is?? He think he is the head of the world? he speaks like he in charge of everything🤔 He must speak anyway, his office is few steps away from becoming in charge of everything.
Sijajua unayoyaongea yanayoka wapi. Iwe ni utaratibu wa chama ama wake yeye binafsi ama serikali, nasty is nasty!!! Kujipendekeza ni kujipendekeza, kuvaa wigi ni kuvaa wigi. Kama tunampenda raisi wetu tunampenda hata kama hatabandika mabango, na kama hatumpendi vivyo vivyo, hata hii kauli yako...
Kwani umma hatuoni anachokifanya?? Tunajua anachokifanya, na cha ajabu ni kwamba sifa zenyewe anazobandika hazina hata mantiki, zaidi ni kama kujidharirisha mwenyewe.
Nianze makala hii kwa kutoa mfano halisi ambao nilikutana nao mimi mwenyewe. Siku moja nilikutana na tafrani kati ya dereva bajaji na askari barabara. Kile kilichotukia ni dereva kukamatwa akiwarekodi video askari barabarani wakipokea hongo kutoka kwa dereva wa bajaji aliyekuwa mbele yake.
Simu...
1.Hiyo biashara yako nakushauri uipeleke india. Inafaa zaidi ukaishi na waaminifu wenzako. Kama uliweza kukaa na mwizi you are a man of experince, There is always a solution to every problem,
2.Malengo yako ni ya kichoyo; kuua biashara za wengine ambazo ndio risky zao ni plan ya Ki-IDDI AMINI...
There is one thing in universities especially for engineering takers called PROJECT, it usually pops up at the last year. Taking one’s idea into real practice is how I can shortly describe a project. An engineering student owed a project presentation before calling himself/herself a graduate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.