Tanga dar masaa mawili na nusu!
gari za dar - mombasa mnatoka kariakoo opposite na kituo cha daladala cha congo Tahfif saa kumi unawahi futar Tanga
tashrif mnatoka tanga saa tano asubui unawah lunch dar saa saba!
"dogo" AMN ni kiraka anapiga (deputise) kote kote lwb or rwb ingawa amezaliwa kama midfield wa chini, na kola ni mzuri kwa kwenda mbele (kushambulia) ulinzi hayuko vizuri! lakin kama tushawah kutengeneza kina cashley cole inakuwaje?
hernandez amenunuliwa kwa hela ndefu kuja kumreplace alaba,siyo kama back up! na mara nyingi footballers wakianza kutumika mapema wanachoka mapema kabla hata ya kufika 30, chukulia mfano wa michael owen! sikatai kama hawezi kutufaa. kuja kwake kunazuia kijana kukua, mfano mkubwa ni alivyo...
TUKO pamoja brother ila natamani kuona tunaachana na haya makapi, tutengeneze kikosi au tuchukue wakiwa on their way up, au wakiwa kwenye peak kama tulivyofanya kwa auba! check kwa leichensteirner sijui kama nimepatia jina!
Kwa nini target inakuwa kwa hawa failures, bado hatujajufunza kwa Suarez, tuwaamini vijana tuwatengeneze watakuja kuwa vizuri tu, mavropro na yule wa kingreza! Naamin with proper game time na proper training wata prosper tu, tuwaamin
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.