Recent content by Mr. Mpevu

  1. M

    Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Nimsaidie kuuliza. Na wewe umejuaje km kuna maisha baada ya kufa wkt hujawahi kufa Mkuu?
  2. M

    Mwigulu Nchemba huna uzalendo wowote, haya Maigizo yako utawapata wajinga na wapumbavu

    We Wewe ubongo wako uko mochwari siku nyingi anayebishana na wewe anabishana na maiti..
  3. M

    DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Tanzania ishakuwa Korea kaskazini. Hii siyo Nchi huru tena. Ni kama Bulgaria ya Seusescu. Sheria nyingi za kukandamiza habari. Lazima tuongee wanachopenda watawala na machawa wao mana wana Bunduki na magari ya kutekea watu.
  4. M

    PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

    Wauaji wanajua sana kupamba story zao. Wanaweza mazingira Sawa ili jumuiya ya kimataifa wasahau waendelee kuua. Kuendelea kuwasikiliza wakipamba mauaji yao ni maumivu makubwa yasiyovumilika. Ni Sawa alivyozimiwa mic
  5. M

    Kiongozi anasimama anasema foleni inasababishwa na magari machafu yasiyo na AC

    Hivi huyu mkuu wetu wa mkoa ni mzima kweli? Huwa simuelewi kabisa huyu jamaa
  6. M

    Hofu ya watanzania wengi: Je, 2030 baada ya Rais Samia kumaliza awamu yake CCM wataweza kuleta Rais mzuri kama Samia kweli?

    Wanaweza kumpata tu. Muuaji zaidi ya Samia CCM watampata. Kumejaa mashetani wengi sana mle CCM. Hawatapata shida. Mashetani kuliko Samia wako on the waiting ndani ya CCM.
  7. M

    JINSI YA KUKATA KIUNO KITANDANI

    Mada nzuri sana. Hv lkn mmenotice wanawake wa siku hizi hasa magen Z wakikr hawawezi kabisa kukata viuno? Yn nmekutana na wasichana wengi hiyo kitu hawawezi kabisa. Shida ni nini, kukosekana kwa unyago? Embu wenzangu wanaume, mnakutana na hii hali?
  8. M

    Basilla amwambia Rais Samia “Kuvujisha Siri ni utovu mkubwa wa maadili ila kufanya yanayovujishwa ni ukosefu mkubwa zaidi”

    Ajiangalie sana Basil's Mwanukuzi. Ushauri wake siyo mziki mtamu masikioni mwa Sheikh Asina. Asije akapita naye tuanze na hashtag "Bringi back Basila Mwanukuzi". Hana utani tena. Anachotaka kusikia ni mapambio ya kumsifu Na kumuabudu..
  9. M

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Huyu hakufaa kabisa kupewa majukumu makubwa hivi. Hajiamini kiasi ambacho akisemwa kdg tyr anaona ufumbuzi na kumuua aliyemsema. Hivi kweli yule kijana aliyechoma picha yake alikuwa na threat gn Kwa utawala wake? Yule kijana, ht kwa kumuangalia tu, alikuwa Ni mtu wa kupuuzwa tu. Bila huruma...
  10. M

    PreGE2025 Luhaga Mpina: Rais hana kinga ya kutokosolewa. Watu wanatekwa ninyi mnapongezana, wanaoikosoa serikali wasizuiliwe

    Sheikh Asina Wa Bangladesh amehamia Tanzania. Anataka kusmbudiwa tu. Wanaomkosoa anawachinga km Kuku. Ee Mungu tusaidie
  11. M

    Hoja sita juu ya Martha Karua kuzuiliwa kuingia nchini

    Udikteta na uuaji Wa CCM na Samia Sasa umevipiku Nchi za Uganda na Rwanda. Samia hajiamini. Anaona akiteka, kuua, kubambikia wapinzani wake kesi kubwa na kuwatisha wanaharakati Wa haki za binadamu ndo atatambuliwa km Rais na kuogopwa.
  12. M

    Rais Samia angekuwa Raia na amezaliwa Marekani angelazimishwa Kugombea Urais na angepita na kushinda kwa kura nyingi sana kuwahi kutokea

    Kuna watu humu Duniani wamejaaliwa upumbavu kupitiliza. Hii nayo ni Karama. Huwezi kuikuta kwa wengi..
  13. M

    Wana Yanga SC mlioko hapa JamiiForums ili niamini kuwa mna Akili na kweli mnazitaka alama 3 za mezani nijibuni haya maswali yangu

    Mimi bado nakumbuka lile suala la Kagoma. Utopolo Wa humu JF waliikazania kwa kusherehekea. Niliwaambia Kagoma atacheza tu lkn viongozi wao wasio na akili km alivyosema Manara wakaita Wana habari na kuwahakikishia wajinga wenzao kuwa Kagoma atafungiwa, wakatoa mkataba Wa hovyo km ushahidi...
  14. M

    Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

    Wewe Wewe ndiye mpumbavu kuliko upumbavu wenyewe. Umeona pale Kuna mtu anaitwa Afisa usalama Wa mchezo. Kwa akili zako fupi unafikiri mtu huyo ni polisi? Unaamini usalama upo Kwa polisi tu. Kwenye sherehe huwa Kuna walinzi Wa usalama wasio polisi. Wengine huwaita mabaunsa, kwa hiyo unaamini...
Back
Top Bottom