Tulijua tu wewe mtekaji utakuja na drama zako ili kuhalalisha uovu wenu. For sure mwisho upo tu hata ukijitahidi kuteka na kuua watu au kuwasapoti wanaoteka na kuua. Hamuwezi kuteka na kuua kwa muda wote. Wengi mtawaua na kuwapoteza lakini ipo siku tu mtalipia huu ushetani wenu huu.
Haishangazi. CCM ipo km Irana. Ina vyama proxies inavyovifadhili km Irana inavyofadhili proxies zake kina Isbullah, Houth nk. Lazima viunge mkono kila kinachotakiwa na mfadhili wao.
Hapo unaelezea unachotamani kiwe au kitokee lkn isivyo bahati hali haiko hivyo wala hiyo drone ya Baibui hata Iran wenyewe ndo wanaisikia kutoka kwako. Hata hizo ndege, Iran wenyewe wanakushangaa umeziona wapi kwenye Ardhi yao. Ishi kwa matumaini. Yanaweza kutokea baadaye. Usikate tamaa.
Huyu mtu ana mawazo ya hovyo sana. Sasa km watu wanaokufa ndio wanaorudi Duniani, ina maana toka maisha yaanze Duniani kulikuwa na idadi hiyo hiyo ya watu ndio wanaojirudia kuzaliwa. Mbona idadi ya watu Duniani inaongezeka. Hivi hawa watu wanaodai kila siku sijui kuna roho, mara zinaenda motoni...
Huyu mtu ana mawazo ya hovyo sana. Sasa km watu wanaokufa ndio wanaorudi Duniani, ina maana toka maisha yaanze Duniani kulikuwa na idadi hiyo hiyo ya watu ndio wanaojirudia kuzaliwa. Mbona idadi ya watu Duniani inaongezeka. Hivi hawa watu wanaodai kila siku sijui kuna roho, mara zinaenda motoni...
Kauli thabiti na imara sana kutoka kwako Paschal Mayala. TEC hawajipendekezi kwa mtu wala hawahitaji kuwa machawa ili mambo yao yaende. Kwao nyeupe ni nyeupe. Utake au usitake
Kweli kabisa. Wanajua huyo Mwashambwa ni bwege fulani hivi lisilojielewa ndo mana wanalipa post za kipumbavu wakijua hawezi kuelewa lentewe litapist tu lipate buku 7 zake linunue bando lisifie mkuu wao mbumbumbu..
Tanzania ishakuwa Korea kaskazini. Hii siyo Nchi huru tena. Ni kama Bulgaria ya Seusescu.
Sheria nyingi za kukandamiza habari.
Lazima tuongee wanachopenda watawala na machawa wao mana wana Bunduki na magari ya kutekea watu.
Wauaji wanajua sana kupamba story zao. Wanaweza mazingira Sawa ili jumuiya ya kimataifa wasahau waendelee kuua. Kuendelea kuwasikiliza wakipamba mauaji yao ni maumivu makubwa yasiyovumilika. Ni Sawa alivyozimiwa mic
Wanaweza kumpata tu. Muuaji zaidi ya Samia CCM watampata. Kumejaa mashetani wengi sana mle CCM. Hawatapata shida. Mashetani kuliko Samia wako on the waiting ndani ya CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.