Tanzania ishakuwa Korea kaskazini. Hii siyo Nchi huru tena. Ni kama Bulgaria ya Seusescu.
Sheria nyingi za kukandamiza habari.
Lazima tuongee wanachopenda watawala na machawa wao mana wana Bunduki na magari ya kutekea watu.
Wauaji wanajua sana kupamba story zao. Wanaweza mazingira Sawa ili jumuiya ya kimataifa wasahau waendelee kuua. Kuendelea kuwasikiliza wakipamba mauaji yao ni maumivu makubwa yasiyovumilika. Ni Sawa alivyozimiwa mic
Wanaweza kumpata tu. Muuaji zaidi ya Samia CCM watampata. Kumejaa mashetani wengi sana mle CCM. Hawatapata shida. Mashetani kuliko Samia wako on the waiting ndani ya CCM.
Mada nzuri sana. Hv lkn mmenotice wanawake wa siku hizi hasa magen Z wakikr hawawezi kabisa kukata viuno? Yn nmekutana na wasichana wengi hiyo kitu hawawezi kabisa. Shida ni nini, kukosekana kwa unyago? Embu wenzangu wanaume, mnakutana na hii hali?
Ajiangalie sana Basil's Mwanukuzi. Ushauri wake siyo mziki mtamu masikioni mwa Sheikh Asina. Asije akapita naye tuanze na hashtag "Bringi back Basila Mwanukuzi". Hana utani tena. Anachotaka kusikia ni mapambio ya kumsifu Na kumuabudu..
Huyu hakufaa kabisa kupewa majukumu makubwa hivi. Hajiamini kiasi ambacho akisemwa kdg tyr anaona ufumbuzi na kumuua aliyemsema. Hivi kweli yule kijana aliyechoma picha yake alikuwa na threat gn Kwa utawala wake? Yule kijana, ht kwa kumuangalia tu, alikuwa Ni mtu wa kupuuzwa tu. Bila huruma...
Udikteta na uuaji Wa CCM na Samia Sasa umevipiku Nchi za Uganda na Rwanda. Samia hajiamini. Anaona akiteka, kuua, kubambikia wapinzani wake kesi kubwa na kuwatisha wanaharakati Wa haki za binadamu ndo atatambuliwa km Rais na kuogopwa.
Mimi bado nakumbuka lile suala la Kagoma. Utopolo Wa humu JF waliikazania kwa kusherehekea. Niliwaambia Kagoma atacheza tu lkn viongozi wao wasio na akili km alivyosema Manara wakaita Wana habari na kuwahakikishia wajinga wenzao kuwa Kagoma atafungiwa, wakatoa mkataba Wa hovyo km ushahidi...
Wewe
Wewe ndiye mpumbavu kuliko upumbavu wenyewe. Umeona pale Kuna mtu anaitwa Afisa usalama Wa mchezo. Kwa akili zako fupi unafikiri mtu huyo ni polisi? Unaamini usalama upo Kwa polisi tu. Kwenye sherehe huwa Kuna walinzi Wa usalama wasio polisi. Wengine huwaita mabaunsa, kwa hiyo unaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.