Recent content by Mr. Mpevu

  1. M

    Mgogoro wa Gaza: Haijawahi kuwapo nchi inayoitwa Palestina

    Wafilisti siyo wapalestina. Soma historia vizuri
  2. M

    Alex Ngereza: Simba wameenda kupoteza pesa Zanzibar

    Huyu Ngereza naye ana akili mwezi mchnga. Hv alitaka waweke Kambi wapi? Zanzibar na Dar si zipo Sawa tu? Pesa gani zinaongezeka kwa kwenda Zanzibar jirani hapo? Alitaka wabaki mitaani hadi siku ya mechi. Ushabiki mwingine ni kipuuzi kabisa.
  3. M

    Tujadili viumbe walioumbwa kwa moto na upepo ambapo humo tunapata Malaika, majini, vibwengo, shetani wana maumbo au hadaa zetu tu?

    Faith is the practice of training the mind to ignore facts, evidences and logic. Hakuna ushaidi ya kuwepo kwa viumbe hivyo. Ni ubongo wako tu ukichanganywa au kiuchanganyikiwa ndo utafikiri hao viumbe wapo.
  4. M

    Hivi Scout ya Simba sc Inawafanya Mashabiki Wa SIMBA SC ni Mambumbu sana

    Nafikiri Simba kwa sasa kinachotuumiza ktk usajili Ni upigaji au ubahili. Scout yupo vizuri isipokuwa kuna hayo mambo mawili
  5. M

    Simba tuache kutafuta visingizio, Kwa sasa Yanga wametuacha mbali sana

    Rank za CAF Ni historia. Siyo hali ya sasa
  6. M

    Simba tuache kutafuta visingizio, Kwa sasa Yanga wametuacha mbali sana

    Ni kweli kabisa. Acha tu tuumie na kina Mangungu wetu. Sijui lini watatuonea huruma wajiuzulu tupate watu wapya watutoe hapa? Sijui tukawapigie magoti kuwaomba waondoke? Wanatudhalilisha sana
  7. M

    Wakati umefika sasa kwa uongozi mzima wa Simba ujiuzulu kupisha wengine

    Yaani inatia uchungu sana. Sijui hata tufanyeje. Kila mechi timu inastruggle, uhakika Wa ushindi hakuna. Tutaaibika tena tutakapokutana na Utopolo. Siku hiyo mm uwanjani siendi. Nitasikilizia kwenye Radio. Ht Tv siangaliii. Ni ujinga mtupu.
  8. M

    Wakati umefika sasa kwa uongozi mzima wa Simba ujiuzulu kupisha wengine

    Hakuna kisingizio cha GSM wala siasa. Shida ipo kwenye uongozi Wa Simba. Wanasajili wachezaji wa kawaida mnoo. Hv Chilunda aliyeachwa na AZAM ndiye asajiliwe kuisaidia Simba? Kina Kapama, Kyombo ndo viongozi waliwaona wanaweza kuipa Simba ubingwa? Km ni GSM mbona na Sisi tulikula 5? Hawa Jamaa...
  9. M

    Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

    Nasubiri kwa hamu maelezo na ufumbuzi Wa jinamizi hili maishani mwangu.
  10. M

    Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

    Nmefurahi sana kukutana na hii Mada leo japo nmechelewa kidogo. Mm mwanzoni nilikuwa nikiamini kuwa ndoto Ni useless km mtoa Mada. Lakini kuanzia mwaka 2014 nimekuwa nikiota ndoto fulani ambayo imekuwa ikijirudia rudia hadi leo hii. Maisha yangu yameharibika kabisa hadi leo mafikiri ni kwa...
  11. M

    CHADEMA tambueni Makonda kupita mle alipopita Magufuli ni kwa sababu Watanzania wanahitaji matokeo chanya

    Naomba kuelimishwa hapa. Kwanini ndani ya katiba yetu kuna kifungu kikitaka kutekelezwa inakuwa jinai? Uhuru wa mikutano ya hadhara na maandamano ya Amani yameanishwa vizuri katika Katiba ya Jamhuri ya muumgano wa Tanzania na kutungiwa sheria. Inakuwajje utekelezaji wake kuonwa km ugaidi na...
  12. M

    Mambo saba ya kufahamu kuhusu jua

    Duh! Brain zingine huwezi kuziita ni za kijinga, bali ni za kipumbavu ambazo hazistahili hata kujiongesha mbele za watu kwa kuandika chochote. Huyu mpuuzi eti anachangia mada nzito kwa utafiti aliofanya kwa kutumia macho yake bila msaada wowote. Huyu mjinga akiingia kwenye gari akiona miti...
  13. M

    Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

    Kama Hana mfano Sasa Mungu yule atakayeingiza unyayo wa mguu wake kule Jehanamu siku ya kiama kwa mujibi wa Qur'an huo mguu ameutoa wapi na huo unyayo unafananaje? Mnajiconradict wenyewe kwa hivyo vitabu vyenu sometimes
  14. M

    Njooni tuelimishane

    Duh! Bange hizi jamani. Kuweni makini.
Back
Top Bottom