Recent content by Mr. Mpevu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Wananchi wamekataa maigizo ya Nchimbi, hiki ni kiwewe cha siku 30 za Commonwealth.

    Ile kweli ni Nyara ya serikali. Ukipambana nalo utapewa kesi ya ujangili. CCM wamekaba kote kote. Uhaini, ughaidi hadi ujangili
  2. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi wanapotaka watanzania wapambanie katiba mpya, wanatakiwa kupambana na nani?

    Kweli kabisa. Anataka watu waanze kupambania katiba mpya wajulikane wapewe kesi za ughaidi waoozee kwenye Jela zao. Labda hawajatosheka na mateso wanayowapa watanzania. Wameteka, wameua, wameweka watu ndani kwa uhaini, wameona haitoshi, wamebuni ughaidi. Ss wanatuambia tuipambanie Katiba mpya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hisia za jamii kuelekea 7/7: Je maandamano yapo au hayapo?

    Hahahaa. Serikali yote imeandamanishwa bila kupenda. Tena wao wameanza kuandamana mapema sana. Km lengo lilikuwa maandamani basi limetimia.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Simulizi: Jinsi David Djumbe "alivyotekwa" na kuwakimbia "watekaji" akiwa na pingu

    Tulijua tu wewe mtekaji utakuja na drama zako ili kuhalalisha uovu wenu. For sure mwisho upo tu hata ukijitahidi kuteka na kuua watu au kuwasapoti wanaoteka na kuua. Hamuwezi kuteka na kuua kwa muda wote. Wengi mtawaua na kuwapoteza lakini ipo siku tu mtalipia huu ushetani wenu huu.
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Viongozi wa vyama 13 vya upinzani wapinga kuundwa kwa tume kutoka nje ya nchi ya kuchunguza matukio ya Oktoba 29

    Haishangazi. CCM ipo km Irana. Ina vyama proxies inavyovifadhili km Irana inavyofadhili proxies zake kina Isbullah, Houth nk. Lazima viunge mkono kila kinachotakiwa na mfadhili wao.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuhutubia taifa siku ya kesho Mei Mosi (1 Mei, 2026)

    Hivi huyu mpumbavu anayeitwa mwashambwa alizaliwa wapi na mwaka gn ili niilaani cku hiyo niitoe katika kalenda ya siku ninazozitambua?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Hapo unaelezea unachotamani kiwe au kitokee lkn isivyo bahati hali haiko hivyo wala hiyo drone ya Baibui hata Iran wenyewe ndo wanaisikia kutoka kwako. Hata hizo ndege, Iran wenyewe wanakushangaa umeziona wapi kwenye Ardhi yao. Ishi kwa matumaini. Yanaweza kutokea baadaye. Usikate tamaa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Unachokipitia sasa ni matokeo ya kile ambacho ulikianzisha zamani

    Huyu mtu ana mawazo ya hovyo sana. Sasa km watu wanaokufa ndio wanaorudi Duniani, ina maana toka maisha yaanze Duniani kulikuwa na idadi hiyo hiyo ya watu ndio wanaojirudia kuzaliwa. Mbona idadi ya watu Duniani inaongezeka. Hivi hawa watu wanaodai kila siku sijui kuna roho, mara zinaenda motoni...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Unachokipitia sasa ni matokeo ya kile ambacho ulikianzisha zamani

    Huyu mtu ana mawazo ya hovyo sana. Sasa km watu wanaokufa ndio wanaorudi Duniani, ina maana toka maisha yaanze Duniani kulikuwa na idadi hiyo hiyo ya watu ndio wanaojirudia kuzaliwa. Mbona idadi ya watu Duniani inaongezeka. Hivi hawa watu wanaodai kila siku sijui kuna roho, mara zinaenda motoni...
  10. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwanini TEC hawakutoa ushirikiano kwa Tume ya Jaji Chande?

    Kauli thabiti na imara sana kutoka kwako Paschal Mayala. TEC hawajipendekezi kwa mtu wala hawahitaji kuwa machawa ili mambo yao yaende. Kwao nyeupe ni nyeupe. Utake au usitake
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni aibu na fedheha kubwa sana kwa CHADEMA Kushindwa Kuwa Na Vitega Uchumi Kwa Miaka 34 Na Kuishia Kuombaomba Tu Michango Inayoishia Kutafunwa hovyo

    Kweli kabisa. Wanajua huyo Mwashambwa ni bwege fulani hivi lisilojielewa ndo mana wanalipa post za kipumbavu wakijua hawezi kuelewa lentewe litapist tu lipate buku 7 zake linunue bando lisifie mkuu wao mbumbumbu..
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Nimsaidie kuuliza. Na wewe umejuaje km kuna maisha baada ya kufa wkt hujawahi kufa Mkuu?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba huna uzalendo wowote, haya Maigizo yako utawapata wajinga na wapumbavu

    We Wewe ubongo wako uko mochwari siku nyingi anayebishana na wewe anabishana na maiti..
  14. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Tanzania ishakuwa Korea kaskazini. Hii siyo Nchi huru tena. Ni kama Bulgaria ya Seusescu. Sheria nyingi za kukandamiza habari. Lazima tuongee wanachopenda watawala na machawa wao mana wana Bunduki na magari ya kutekea watu.
Back
Top Bottom