Recent content by Mr-Moruhu

  1. Mr-Moruhu

    Naomba msaada kwenye hili suala tafadhali

    Kwa jinsi ninavyo faham mimi, As long as yupo kwenye contract na hakuna dalili za kupewa barua ya appointment for permanent and pensionable, mwambie aongeze bidii ya kujiandaa akafanye Interview. Na hata kama mtu akiwa kwenye permanent and pensionable terms basi Kama ulipitisha barua yako...
  2. Mr-Moruhu

    Utumishi siwaelewi kabisa

    Mkuu, Jitahid uwe unaanza maandalizi mapema. Ukiwa unasubir had watoe shortlist utakuwa na muda mchache wa kujiandaa na utakuwa unaishia kulaumu bure. Pambana had ufike hatua ya mwisho Oral Interview na Jitahid kujibu kwa usahihi maswali yao. Amin utafanikiwa hata kupitia Kanzi data.
  3. Mr-Moruhu

    Naomba uzoefu kwa waliowahi kufanya usaili wa ICT Officer Utumishi

    Jitahidi kuwa more specific ni ICT Officer upande upi?? Database, Network, System Admin, Security e.t.c ili mwenye experience yake akushauri!
  4. Mr-Moruhu

    Sitaki tena ajira Bandari

    Hauko pekeako mkuu, wew chukulia kama vile umetoka kusaka ajira, umekoswa nauli, ukatembea gizani bas umekutana na wahuni wamekupora kile ulichokuwa nacho na kukitegemea kikuokoe kisha wakakupa na makofi juu in "In Kala Jeremiah's voice" Nyanyuka songa mbele usikate tamaa, kila unapoitwa...
  5. Mr-Moruhu

    Uhamiaji watangaza ajira

    Labda saili ziwe zinafanyika kimya kimya huko huko kwenye kambi za malezi kama ilivokuwa hapo awali. Lakini kama ni hapo Mgulani basi hata Makamanda wenyewe wanajua jeshini hakuna formula kwaiyo Kenge lazima atoke Damu ndipo aamini kuwa huo ni msafara wa Mamba, na sio msafara wa Kenge.
  6. Mr-Moruhu

    Uhamiaji watangaza ajira

    Service Man mzima Unajaa Nyembe kama kurutu anavotukana akiwa kajifunika blanketi eti kisa umeskia kuna Ma-service wepesi waliopga kozi mda mfupi ambao unaona wamewavuna kwa ufupi wa kozi yao, lakini mwisho wa siku cheo ni komoja "Service Man" na watavamia BOGI basi roho yako ilivo mbaya...
  7. Mr-Moruhu

    Uhamiaji watangaza ajira

    Tunawajaua vizuri tu waache wapge mikwala yao humu lakini BOGI lazima livamiwe. Maafisa ambao wapo chomboni wanajua hali halisi mtaani na uzuri ni kwamba kwenye majeshi yetu hakuna formula huko kwaiyo hao wanao jikuta ati ni maafande wakati bado ni raia tu wasikariri na wanalijua hilo huwa...
  8. Mr-Moruhu

    Uhamiaji watangaza ajira

    Kwenye huo msafara wa Mamba Kenge hatuwezi kukosa, Sifa kuwa mwepes sasa kama wewe ulijitolea alafu unajikuta mzito utakaa kando tu habari ndio hiyo. Uzuri ni kwamba wewe Service Man ambaye mimi wa mujibu nilikutangulia kuanza kozi japo ni ya miezi3 hakuna utakacho nifanya, maafisa...
  9. Mr-Moruhu

    Uhamiaji watangaza ajira

    Wale walio VAMIA BOGI la Madaktari wakati wa usaili TPDF waje watupe mrejesho. Watuhadithie maana hakuna formula huko na wale wa mujibu tunao taka KUVAMIA BOGI tupo na si haba mtaani pametupa Molari. Kwa kuwa kwenye kila KIBANGALA cha Mamba kitakachokuwa kinakatwa Kenge hatukosekani maana...
  10. Mr-Moruhu

    The story of my interview failures and lessons learnt

    Inspiring and very motivational, wacha tuendelee na kupambana. Wakuu kama kuna yoyote alifanya interview za TCRA zilizotangazwa December mwaka Jana anipe mrejesho, wanatumia muda gani hadi kuita watu kwenye interview maana naona kupokea maombi tu inachukua mwezi mzima.
  11. Mr-Moruhu

    Kuna mambo yametokea kwenye usaili wa BRELA ya kushangaza. Je, hii ni kweli?

    Mkuu ni kweli huwa nafanya betting maana naamini uwezo wangu na interview zote zinazo nishawishi kuja Dar ni za taasisi kubwa kubwa za Serikalini. Nafuu kwa betting zetu zile za kawaida mtu unafuatilia match hadi matokeo na unaona uhalali wake. Lakini kwa hii "Utumishi Bet" wale waamuzi nyuma ya...
  12. Mr-Moruhu

    PSRS: Ajali zote hizi bado usahili wa madereva mnafanya ujanja ujanja??

    Ujirani mwema kati ya wakuu wa taasisi zinazo omba vibali vya kuajili na wakuu wanao endesha michakato ya kutafuta wafanya kazi Bora, umeshakuwa na mizizi iliyo komaa kwaiyo Bulldozer litusaidie kukwangua mpka vipele.
  13. Mr-Moruhu

    Kuna mambo yametokea kwenye usaili wa BRELA ya kushangaza. Je, hii ni kweli?

    Mkuu baada ya kuuza skills na kujieleza zaid kwenye swal la kwanz, vip kwa upande wa maswali yao mengine ulijibu yote confidently au mengne yalikuw magum ukawa una-load na ku-scratch katikati ya majib yako??
  14. Mr-Moruhu

    Kuna mambo yametokea kwenye usaili wa BRELA ya kushangaza. Je, hii ni kweli?

    Ndio, mfumo uko fair lakini External Interferences sio kasoro ndogo ni kasoro ambayo ilipaswa kuwa imekwisha ondolewa kitambo kwasababu haijaanza kupigiwa kelele leo.
  15. Mr-Moruhu

    Kuna mambo yametokea kwenye usaili wa BRELA ya kushangaza. Je, hii ni kweli?

    Nimefanya tatu maana huwa naweza kuja Dar ikiwa ntapata nafasi kuhudhuria interview za PSRS.
Back
Top Bottom