Wadau mabo vp natafuta deck za vhs ikiwezekana iwe combo au single vhs player ili mradi iwe na uwezo wa kuplay vhs na iwe katika hali nzuri na kufanya kazi bila matatizo nina shida nayo kinoma
Ndugu wanajamii wenzangu mimi mfanyakazi katika kampuni moja ya kimataifa(sitoitaja jina) nimefanya kazi kwa zaidi ya mwaka mmoja bila ya kupewa mkataba licha ya kufanya kazi kwa bidii na kuwa na elimu ya kutosha(Shahada ya kwanza) pamoja na uzoefu.Nimeshuhudia watu wakitoka nje ya nchi wakipewa...
Mjomba hakuna miujiza hapa hii ni real fact tena incase kama una blog au website maarufu sana uhakika wa kuingiza zaidi ya dola mia upo najua watu ambao wanaingiza kuanzia dola 30 mpaka 70 kwa siku ila inabidi uwe serious kwelikweli na akili yako yote ifocus huko.
Account ya adsense yenye balance ya US$46.22 inapatikana kwa Tshs200,000 nicheck PM kama unaihitaji.Account imekuwa approved kwa blog tu(hosted).
Nakuuzia account pamoja na salio lake fanya hima.....
Kiungo cha binadamu kinapokuwa na kasoro kufanyiwa marekebisho sio kufuru chukulia mfano una uume mdogo kupita kawaida hata ukimtia msichana mwenye bikra hafeel kitu chochote utaendelea kukaa hivyo hivyo bila kujaribu utaritibu wowote?...Halafu vile vile tatizo la uume kuwa mdogo sana...
Moja ya wadada wanaotisha kwa urembo hapa bongo kuanzia juu mpaka chini nilibahatika kuona picha yake moja akiwa natural kabisa inaonekana kama ana asili flani hivi siyo mbantu kwa asilimia 100 ni kama vile ana ushombe shombe flani hivi.Kwa mfano angalia kwa ukaribu structure ya uso wake kwenye...
Sioni maadili yoyote yaliyovunjwa kama ni viuno vinakatwa tokea enzi za mababu....na hata wakifungia watafungia vitu vingapi haya mambo yapo kila kona yamezagaa kwenye mitandao ya kijamii ndo usiseme ukifungia huku watu wanahamia huku.
Mwanamke wa kiafrica mwenye umbo la kibantu akikata kiuno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.