Ethiopia wamefulia kuliko Bongo, we nenda Addis, Kampala, Bujumbura, Kigali hivyo vimiji vyote viko kama vile uko mkoa yaani kumechoka siyomchezo. Barabara zao zimejaa mashimo, traffic lights kwao ni dili yani wapowapo, huwezi ukafananisha na bongo hata kidogo. :eyeroll2: