Hahahaha n kama ndan ya daladala
KONDA NA ABIRIA Abiria-kuna siti au
unaniambia tu nipande?
Konda-hao wengne
wamekalia ndoo!
#**#** Abiria-hebu punguza saut
redio!
Konda-sheria za nchi
zinatushnda 2zifate na
zako? Hebu tupunguzie
misheria ***#*
Abiria-ondoa gar bwana!
We uoni joto...
Kwa msaada wangu maana hayo nilishayapitia ,kwa sasa nina watoto wa3,,tafuta jani la roseflower alafu ulisage liwe kama unga then chukua maji kidogo kama kijiko kimoja mdondoshe puani kidogo kidogo ukae kama dk 3.
Ataanza kupiga chafya umuache apige chafya mpaka atakapoacha mwenyewe uhakikishe...
1. THE COMPLAINERS- hawa
yani
Umeme usikatike Kidogo ,.
Lazima
Watoe Status kuhusu Umeme au
Tanesco
2. THE PREACHERS- Hawa
wenyewekila
Ijumaa ujifanya
Wameguswa sana ..
Wanatoa Status za Dini tu
3. THE CONFUSED - Hawa
wenyewe Leo
Unakuta Single , kesho
Married ,. Kesho
kutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.