Recent content by Mr. Magena

  1. M

    Maswali ya KIjinga,yakijibiwa vizuri

    Hahahaha n kama ndan ya daladala KONDA NA ABIRIA Abiria-kuna siti au unaniambia tu nipande? Konda-hao wengne wamekalia ndoo! #**#** Abiria-hebu punguza saut redio! Konda-sheria za nchi zinatushnda 2zifate na zako? Hebu tupunguzie misheria ***#* Abiria-ondoa gar bwana! We uoni joto...
  2. M

    Reasons why I never visit rich people !!

    Hahahaha hunioni tena
  3. M

    >>iNgLiShIoLoGy¿¿¿

    Tehetehe mnanichekeshaology
  4. M

    Reasons why I never visit rich people !!

    Hahahaha hunioni tena
  5. M

    Mtoto anashtuka mara kwa mara

    Kwa msaada wangu maana hayo nilishayapitia ,kwa sasa nina watoto wa3,,tafuta jani la roseflower alafu ulisage liwe kama unga then chukua maji kidogo kama kijiko kimoja mdondoshe puani kidogo kidogo ukae kama dk 3. Ataanza kupiga chafya umuache apige chafya mpaka atakapoacha mwenyewe uhakikishe...
  6. M

    Jinsi walivyo facebook

    Twitter mbona simple..Follow me ,i follow u back
  7. M

    Jinsi walivyo facebook

    1. THE COMPLAINERS- hawa yani Umeme usikatike Kidogo ,. Lazima Watoe Status kuhusu Umeme au Tanesco 2. THE PREACHERS- Hawa wenyewekila Ijumaa ujifanya Wameguswa sana .. Wanatoa Status za Dini tu 3. THE CONFUSED - Hawa wenyewe Leo Unakuta Single , kesho Married ,. Kesho kutwa...
  8. M

    Bora uache ku chat

    Nimegundua watu wengine wanamiandiko kama ya kuku humu jf.
  9. M

    mzazi jaribu hii tricky

    Nahama home hahahaha
  10. M

    Rais Sharobaro

    Thatz kuchekesharing
  11. M

    only english...in this thread...

    Iz english ze gud what u say ,ingilish not kupandaz
  12. M

    Kumbe jf inamlango

    Hodi wadau ,imenibidi nirudi kugonga mlango maana nilikua nimeingia bila kubisha .Ng'o ng'o ng'o
  13. M

    Re: Ujinga

    Ujinga ni rafiki yko kukuita mchizi wangu na wewe unakichwa timamu.
  14. M

    An awkward moment in a daladala when...

    - sumone eats pizza nxt to n u r hungry like hell
Back
Top Bottom