Recent content by mr letter

  1. M

    Naomba kujua historia ya Urusi

    watu twasubir phase number tano na sita kaka dah ... ninoma yan
  2. M

    Hekaya za Mtwa Mkulu: Sayansi ya kumudu maisha ya jeshi

    molale tyu jeshini sifa na uwezo mikazo
  3. M

    Hekaya za Mtwa Mkulu: Sayansi ya kumudu maisha ya jeshi

    hahahahaa...!! kuna wimbounaimba kazi za majeshii ehh.. gangamara lazuma ugangamale .. gangamala eee eee eee..! gangamala e lazima ugangamale...
  4. M

    Mbinu ISIS wanayotumia kuwarubuni, kuwakamata, hatimaye kuwaua Mashoga

    nisawa na kulinda bahari kutokomeza huo upuuzi ila watapunguza asa hii tanzania yetu haiwez kufanya ivo
  5. M

    Maisha ya advance tabu

    soma bila kukata tamaa mambo so magumu bhan jitese hiyo miaka miwil utakula bata mbelen mana kikubwa nikutulia tu..
  6. M

    Maisha ya advance tabu

    dogo wala usipan bado mapema we tulia soma mambo taratibu tyu utaona yanakaa kichwan yenyewe na uhakikishe kila siku unasoma hatakama hauna mood japo kidogo tyu poa..!
  7. M

    Dunia imekwisha

    me nadhan kila mmoja atabeba mzigo wake chamsing nikumwimba mungu kadri ya iman yako inavokutuma..!
  8. M

    Wadada, jifunzeni kuwa wasiri

    kwel bhan wadada wanaboa dats why na sie twaanza waita majina kama hayo..!!!
Back
Top Bottom