Macho ukungu macho kuwasha, nmekuwa nikishauriw sana kuingia kwny hii kitu, kuna dada mmoja ndo ana mwez wa pili hv bas kila siku ananishawish, kanifuata mpaka nilipo lkn sina iman kwn nilienda kupata semina ya qnet, mtaj 5.m,aliyepigwa na hao alliance ajitokeze tupate faida jmn
Naomba kufaham, je mtaj wa kuanzia hicho kilimo ulianza na bei gan na mpaka unavuna unategemea kupata bei gan, mm nina shamba huku mlandiz bado cjaanza kulima kwn sina utalaam ndo nautafuta kwenu
Hii biashara naiwazia kila siku, mpaka hapa nishapata muelekeo! Pia nina frem mpya barabarani maeneo ya Mlandizi, je nifungue tigo pesa na sim au nianze na tg pesa kwanza kwani mtaji haujakuwa sana
Naomba kufaham kwa undan biashara hii ya saloon, leo nmetoka kuobgea na jamaa zng wanasaloon, nkawauliza hiv mikifungua saloon ya kiume kisha nikamweka kijana nkiwa na maana ya kuibgia naye mkataba wa kila mwez anioe mzigo wng, kwa sik amaweza kunikusanyia bie gan? Wakanijib lbd elf 5 kwa sik...
Jamn mm nymb yng milango inaliwa na mchwa hatar, hasa kipind cha mvua wanjitokeza kwa wingi, kuna dawa nlienda kununua hardwear ilisaidia kidogo, naomb msaada wa dawa madhubuti kuwatokomeza kbs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.