Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,020
Jameni wanaJF ushauri wenu ni wa mhimu sana kwangu, hasa madoctor wa Mifugo, wadudu,nk; mafundi wa nyumba; au mtu yeyote yule mwenye uelewa na tatizo hili au amewahi kukumbana nalo.
Mm nina kakiwanja kadogo sehemu flani hivi nahitaji angalau kuanza kuweka kibanda (ujenzi wa kinyumba) ila sehemu husika nime Isurvey nimeona kuna vichuguu vidogovidogo ndani ya ardhi hasa wakati wa kiangazi ndio huonekana vzr, na mchwa wakiwa wamejenga udongo wao. Napenda nipate dawa ya kuwadhibiti (kuwa angamiza) kabla au wakati wa kujenga msingi. Kwani nimewahi kuona madhara ya hawa wadudu kwa nyumba ya jamaa yangu mmoja.
Nacho omba hapa ni:
1. Majina ya dawa kabambe za kuwadhibiti hawa wadudu
2. Pia njia mbadala, baada ya dawa kupatikana kuhakikisha hawataonekana tena kwenye kuta za nyumba. Yaani wakati unataka kujenga ufanye nn ili wasije kuleta tena madhara ndani ya nyumba au kwenye kuta ua msingi (foundation)?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu.
Mm nina kakiwanja kadogo sehemu flani hivi nahitaji angalau kuanza kuweka kibanda (ujenzi wa kinyumba) ila sehemu husika nime Isurvey nimeona kuna vichuguu vidogovidogo ndani ya ardhi hasa wakati wa kiangazi ndio huonekana vzr, na mchwa wakiwa wamejenga udongo wao. Napenda nipate dawa ya kuwadhibiti (kuwa angamiza) kabla au wakati wa kujenga msingi. Kwani nimewahi kuona madhara ya hawa wadudu kwa nyumba ya jamaa yangu mmoja.
Nacho omba hapa ni:
1. Majina ya dawa kabambe za kuwadhibiti hawa wadudu
2. Pia njia mbadala, baada ya dawa kupatikana kuhakikisha hawataonekana tena kwenye kuta za nyumba. Yaani wakati unataka kujenga ufanye nn ili wasije kuleta tena madhara ndani ya nyumba au kwenye kuta ua msingi (foundation)?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu.