Ukisoma hii article 151 (1) "Jaji Mkuu atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwamajina ya watu watatu yaliyopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na kabla ya kuapishwa jina lake litawasilishwa Bungeni kwa ajili ya kuthibitishwa na Bunge".
unaweza ukazani mahakama imewekwa huru kutoka kwenye...
wako sahihi kabisa wanafunzi wakipimwa jinsi unavyotaka pendekeza hatutakuwa na wasomi.....walimu wata chakachua wanafunzi watapewa marksi nyingi za bure ili shule zionekane zinafanya vizuri.....tujiulize swali kama mtihani wa taifa watu wana nunua na kuwapa wanafunzi itakuwaje tukisema 40% ya...
naamin brain ya binadamu hufanya kazi zaidi inapo hisi "sense of fear" kupaka rangi division zero ni kutengeneza mazigira ya wanafunzi kutojituma akijua mwishoni hakuna aibu.
nakataa 100% mtanzania mwenzangu kuondoa division zero ni sawa na kupulizia pafyumu mwili wenye kunuka jasho harufu itabadilika ila itakuwa kali zaidi yenye kuleta mafua.
maoni yangu ni wahusika wote wazazi, wanafunzi, seikali na jamii kwa ujumla tutimize wajibu wetu
wana JF
nimejaribu kujiuliza mambo yafuatayo sijapata jibu sahihi naomba mawazo yenu.
1)serikali imeshusha standard ya ufaulu wanafunzi darasa la saba mwaka huu na kudanganya uma ufaulu umeongezeka, je huu ni uzalendo? na si uhaini?
2)serikali ili binafsisha reli ya kati kwa mwekezaji asiye na...
tatizo langu ni wewe kufananisha dini na siasa "imani na falsafa" ni vitu tofauti sana............inaweza kabisa falsafa kufanana mfano "tanu" na "asp"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.