Weka na malipo maana Kuna interview kama tatu nimefanya wanakuambia hakuna mshahara ila Kuna posho 10k kwa siku.
Tatizo la maboss mna take advantage ukosefu wa ajira ndo mnachukulia kigezo cha kukandamiza watu.
Biashara hii kea kweli imekuwa ngumu, mimi nina gari yangu na nimefanya Sana lakini faida hamna zaidi ya kuchosha gari.
Uber wanadai 25% ya trip kwa maana trip ya 10000 wao wanataka 2500. Hvyo bas unawekewa deni kwenye mtandao ulipie kwa tigo pesa.
Bolt wanadai 11% kwa trip nao huweka deni na...
Kazi yoyote ya mashirika ya serikali au kupitia ajira portal usiombe kama huna refa au connection maana saivi nafasi zinatoka chache wahitaji ni wengi, matangazo yanatolewa kufuata utaratibu wa kuajiri lakin watu wameshaajiria nyuma na kuanza kazi nyie mnafanya maombi ya kuchaguliwa na kujipanga...
Ukiwa na connection kabla hata ya deadline ya kuisha upo kazini, interview za saiv ni kukamilisha utaratibu lakin watu washapewa kazi muda tuu.
Saivi connection ndo kila kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.