mimi mtakatifu
JF-Expert Member
- Oct 11, 2019
- 207
- 482
Wakuu nataka kupata uzoefu kuhusu kazi za United Nations Volunteers.
Mimi nina uhakika nina sifa zote zinazohitajika kupata nafasi ya kufanya na UNV.
Nimejiandikisha kwenye mtandao wao wa vmam.unv.org toka mwaka 2015 lakini sijawai kupata notification yoyote au kuitwa kwa ajili ya kufanya kazi na UNV.
Profile yangu mimi haina gap yani sehemu zote muhimu nimejaza vizuri na nimekuwa nina update taarifa zangu kila inapotokea change yoyote kwenye career yangu.
Mliofanikiwa kupata kazi UNV naomba mnisaidie technicalities, ninakwama wapi?
Ndoto yangu mimi ni kufanya kazi na agency za UN na nnaona nikianzia UNV itanisaidia sana.
Mimi nina uhakika nina sifa zote zinazohitajika kupata nafasi ya kufanya na UNV.
Nimejiandikisha kwenye mtandao wao wa vmam.unv.org toka mwaka 2015 lakini sijawai kupata notification yoyote au kuitwa kwa ajili ya kufanya kazi na UNV.
Profile yangu mimi haina gap yani sehemu zote muhimu nimejaza vizuri na nimekuwa nina update taarifa zangu kila inapotokea change yoyote kwenye career yangu.
Mliofanikiwa kupata kazi UNV naomba mnisaidie technicalities, ninakwama wapi?
Ndoto yangu mimi ni kufanya kazi na agency za UN na nnaona nikianzia UNV itanisaidia sana.