Recent content by Mr Kazembe

  1. Mr Kazembe

    Soko la Kawe lateketea na moto Septemba 15, 2025

    Kinachoumiza wengi wao ni masikini wanatafuta tonge dogo daah asee msingi wako wamkopo ndo unateketea alafu familia yako inakutegemea alooo sikia kwa mtu tu hizi ishu
  2. Mr Kazembe

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Mwanamke anasamehewa vyote lakini si usaliti kaka kama kuna usaliti umetendeka na mwanamke kwanza hakuna mwanaume anaevumilia usariti hivo ushauri wangu achana nae atakuja akuue ila familia yako ilee kwa mapenzi yote
  3. Mr Kazembe

    Phone4Sale Nauza simu yangu ni Iphone 12pro 128gb

    nauza simu yangu iphone 12pro boks lake lipo imepasuka tu back glass face id inafanya kazi camera zote zinafanya kazi na kali balaa battery health 88% no message 0657977457 whatsapp na kawaida naitoa kwa laki 6 punguzo lipo kidogo na shida exchange nafanya ila anaetoa pesa ahakikishe anatoa...
  4. Mr Kazembe

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    wapo pia wengine wanazitumia kwenye pc kwani ni compatible
  5. Mr Kazembe

    PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

    PAD ZA XBOX ORIGINAL NAUZA 150000 Moja maongezi yapo ni og Genuine Xbox Series S/X Wireless Controller zinatumika pia kwenye pc kwakutumia waya wa type c au bluetooth 0657977457 Dar es salaam
  6. Mr Kazembe

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Iphone 12 pro clean as new 💯 💰750000/= TSH 🇹🇿 💾storage 128gb 🔋battery health 80% 🔑face id ✅ ☎️0657977457 📍Dar es salaam mali ni safi imetunzwa mno boksi lake lipo ukinunua utapata naa protector 2 original ambazo nirahisi kuziweka hazihitaji fundi tatizo lililopo ni creck ndogo upande wa nyuma
  7. Mr Kazembe

    Nina miwani ya macho hapa naitoa bure. Ina kipimo cha Myopia -1.00. Sina uhakika kama ni ya macho, nilikosea kuagiza

    Siuzi Hii miwani naitoa bure nilikosea kuagiza nikajikuta nimeagiza ya macho kipimo chake ni myopia -1.00 hivo mwenye kipimo hicho anitafute nimpe bure nipo Dar es Salaam 0657977457
  8. Mr Kazembe

    INAUZWA Nauza Graphic Card Nvidia RTX 2060 super 8GB

    Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb Nauza Tsh 600000/= laki sita inacheza games zote wakuu niwewe tuu na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika 0657977457 📍Dar es Salaam
  9. Mr Kazembe

    Mpaka sasa chaguo ni moja tu 2025

    naona hio mikopo inayokalibia kufika dora. tilioni 100 ccm inaikopea arusha au vikindu ndomana si tegemezi kabisa kwa mataifa ya nje
  10. Mr Kazembe

    USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    gahawa au tangawizi yamotooo ya kijiweni imeshakuchanganya naona unamwaga tu porojoo haya tumekusikia unaweza ukalala sasa
Back
Top Bottom