Ndugu ata mm same tu na we,,,single father,,mama ake Ni wale haki sawA yan leo Moro kesho iringa,,katka kitu nawashaul wanaume wenzangu,,kizur Ni kizur,ila chenye ubora pia nacho nibora,,ukiamua kutoa upwilu toa,ila ikifka time ya kutafuta familia bas kuanza upya si ujinga kabisaa,,