Recent content by mr katundu

  1. mr katundu

    Tarehe 23 ya NSSF inavyonipa presha na kuniweka roho juu. Niombeeni please!

    Mm walinambiaga ndan ya mwez mmoja...lakni wiki tu mzgo ulisoma,,wanajitaid sku iz...kama kwenye app yao mzgo uuoni basi madai confirm.
  2. mr katundu

    Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

    Kinachoniuz kwa mwamposa kushndana na mungu..ukiwa mtu wa imani basi lazma uamini pia ata ulemavu mungu ndo kapanga pia...sasa huyu nabii mwamposa yy anataka pia uyo mlemavu amponye
  3. mr katundu

    Nimeifanya betting kuwa chanzo cha pili cha mapato.

    Unarisk 5milioooo[emoji23]kwa 1,7 miliooo,,,,,kwel ww mkamalia
  4. mr katundu

    Wachezaji wa Yanga waliofungwa na Ihefu wataachwa dirisha dogo mwezi Januari

    Kwel wote mnaamin Hers injinia aliongea ivyo kwenye meChi ya ihefu,,,duh.iyo Ni meChi ya champion league Rwanda Tena kabla mech ijaanza[emoji16][emoji16]
  5. mr katundu

    Ushawahi pitia kama hii single father?

    Ndugu ata mm same tu na we,,,single father,,mama ake Ni wale haki sawA yan leo Moro kesho iringa,,katka kitu nawashaul wanaume wenzangu,,kizur Ni kizur,ila chenye ubora pia nacho nibora,,ukiamua kutoa upwilu toa,ila ikifka time ya kutafuta familia bas kuanza upya si ujinga kabisaa,,
  6. mr katundu

    Nina miaka zaidi ya 25 na sina mume wala mtoto, nachanganyikiwa

    Mimi kama we,,njoo tuzichanganue hali zetu wife material wangu,
  7. mr katundu

    Diva 'divatheebawse' amekimbia kwa mume wake usiku huu na ameamua kuwaaga fans wake. Wakubwa wenzangu huyu tumshauri au tumwache?

    Ndoa wafanyie.kwa diamond,,kuachana waachanie mitandaoni...shenz type,,
  8. mr katundu

    Usikimbilie kuichomoa baada ya kukojoa iache iheme ndani kwa ndani

    Ukimaliza Apo AZUMA ndo rafki ako. Wa ukubwan
  9. mr katundu

    Starehe ya mwili

    Adui.yako muombee nyege,,utanishukuru
  10. mr katundu

    Kaka hii iwe siri yako Tafadhali

    Ni HIV tu au.na hela tutoe?
  11. mr katundu

    Naachana na mpenzi wangu kisa bei

    Halafu mje kusema nimemuacha kimasihala
  12. mr katundu

    Natokea kuwapenda single mother lakini hawanitaki

    Single mother kajala tu,,ao wengne kopy
  13. mr katundu

    Naona vitisho vinazidi Kwa siye wadada na hiyo Midori(Robots)

    Tatzo sis wanaume ndo tunaamua,,kama robot au mwakarobo,,mstupangie
Back
Top Bottom