Kuna sumsung s8+ imefikia ukomo wa update imeishia adroid 10 hiv nikiroot inaweza ku update to adroid 12 ushaur jaman na kama inawezekana nahitaji mtaalamu wa kuroot
Je hiz simu tunazouziwa bongo ambazo ni refurbish na used kutoka uk na korea ni nzuri mana naona watu wanauza sumsung s10+ kwa 700k
Na je nawezaje kununuwa simu kutoka kenya na nikaipata bongo bila shaka mana wakenya siku hiz wamekuwa wapigaj sana
Kwa hiyo hapa kwa hii simu kihalal tungetakiwa kununuwa bei gan mkuu mana mnaruambia tunapigwa mm binafs nilitaka kwenyda kununua hii sim lakin baada ya haya hapan binafsi mamb ya processa nilikuwa siyajui us long us sim ilikuwa inatamia ramu 8 na rom 256 kioo super amoled nikajuwa ni simu bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.