Recent content by mr josemaro

  1. mr josemaro

    Tujikumbushe tungo za Dr. Remmy Ongala- Open post

    Remmy ongala dakrar[emoji91] wa muzick mungu ailaze roho yake mahala pela[emoji120]
  2. mr josemaro

    Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
  3. mr josemaro

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    Kuna sumsung s8+ imefikia ukomo wa update imeishia adroid 10 hiv nikiroot inaweza ku update to adroid 12 ushaur jaman na kama inawezekana nahitaji mtaalamu wa kuroot
  4. mr josemaro

    Laptop ya kununua kwa bajeti isiyozidi 950k

    Hiv generation zina maana gan mkuu naba hata sielew nazisikiaga tu au generation nd zinamaanisha flagship za bland fulan
  5. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Hiyo pro max si nasikia ni india vision hapa bong itawork kwel
  6. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Hawa jamaa wakikutumia simu nitaichukulia wap mkuu
  7. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Sasa hapo unanishaur nichukue phamtom x au galaxy s10 mana s10 ina betr ndog kma nn
  8. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Kama sijakuelewa bro yan niongeze 40% kivip
  9. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Hawa nitawapataje mkuu wana website??
  10. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Je hiz simu tunazouziwa bongo ambazo ni refurbish na used kutoka uk na korea ni nzuri mana naona watu wanauza sumsung s10+ kwa 700k Na je nawezaje kununuwa simu kutoka kenya na nikaipata bongo bila shaka mana wakenya siku hiz wamekuwa wapigaj sana
  11. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Hii slow mo inasaidia nn kweny camera ama camera inatakiwa iwe na future gan ili iwe bora??
  12. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Hiz taarifa za kina sumsung na song tunaweza kuzipata kweny platform mana ukiangalia kweny page ya sumsung Twitter wanatoa habar za simu tu
  13. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Na ukubwa wa oamera tunapaswa tuangalie nn mega pixels au
  14. mr josemaro

    Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

    Kwa hiyo hapa kwa hii simu kihalal tungetakiwa kununuwa bei gan mkuu mana mnaruambia tunapigwa mm binafs nilitaka kwenyda kununua hii sim lakin baada ya haya hapan binafsi mamb ya processa nilikuwa siyajui us long us sim ilikuwa inatamia ramu 8 na rom 256 kioo super amoled nikajuwa ni simu bora...
Back
Top Bottom