The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,279
Kipenda Roho
Mkuu hiyo ya kwanza naikumbuka lakini haitwi Mariam, wimbo unaitwa mtaka yote kama sikosei, ni tungo matata sana na haichoshi kusikiliza,Mi nazikumbuka hizi
Mariam
Nakonda kama mnazi kwa mapenzi niliyonayo,
Jina lako nakuota mchana kutwa sili ee
Moyo wanichechemea, mwili damu kauka eee
...na hiki kipande, katika Mola nalilia mtoto
Nakulilia mola wangu eee
Nakuwaza mola wangu eee eh
Yaliyonikuta ni makubwa naona haya
Mbona nateseka,
Wenzangu wana watoto mimi sina hata wa dawa eee
Yailah mtoto si nguo ningenunua
Mtoto ni mtoto kwa mama hakui iiih
hata angelikua ni kilema au mbaya kama remmy, n mtoto tu uuuh
Karibuni mnaozikumbuka tungo za nguli huyu aliyetutoka 2010.....
Remmy ongala dakrar wa muzick mungu ailaze roho yake mahala pelaMUZIKI ASILI YAKE WAPI
Muziki asili yake wapi eeee
Muziki ni wa nani eee
Muziki hauna mwenyewe,
Muziki ni wito,
Muziki ni fundisho,
Muziki ni maombolezo, kilioooooo
Usinione nikiimba ukadhani ninayo furaha
Kumbe ninayo huzuni moyoniiiiiiii
WIMBO NISEME NINI
Niseme nini?
Niseme nini?
Sina la kusemaaaaa
......
....
Wengi hutishika na sura yangu mbaya lakini roho yangu ni nyeupe,
Nitahakikisha sifanyi mabaya hapa ulimwenguni,
ili siku ya mwisho nionane na Muumba
SIKU YA KIFO
Wandugu wapenzi,
Hii nyimbo ni nyimbo ya ukumbusho,
wa siku ya kuzaliwa na siku ya kufa,
Ulikuja kwa udongo utarudi kwa udongo,
Mawazo mawazo ya mtu mziiiiiima,
Kama akikwambia neno usibishe,
Neno ya muzee, ukabisha,
mwisho utapata shida.....
NAPENDA pia KAROLA, MREMA, NARUDI NYUMBANI, SAUTI YA MNYONGE, HARUSI YA MWANZA