Ni huzuni na kero kwa hili linaloendelea mjini Morogoro, Fieldforce wamejikita kukamata bajaji, Pia Tarura na sector zingine za kiutawala zote zimetolea macho waendesha babaji kwa kamatakamata na uwazishwaji wa vitu vipya
Kila uchao ili tu kutengeneza mianya ya kujinufaisha huku wakiwaweka...
Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana.
Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali.
Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni...
Bro mm napata ugumu naomba unisaidie nilitaka ku upload baadhi ya document ila ina load jana kutwa mzima mpaka usiku bado hali ni ile ile nifanyeje, kuhusu network ipo vizur na nimejaribu mitandao yote hali ni ile ile
Uzi huu nimeamua kufikisha jamvin kwa lengo la kuonyesha njinsi Uongoz wa SUA unavyofanya mambo kwa kutokutafakari kwa kina kama Ifuatavyo;
Hivi punde uongoz umechukua maamuz ya kuwafutia pesa ya boom wanafunzi wa Esm na Brd huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa ya...
Kwakwel Uongozi wa Sua ni shida, ESM na Brd wafundishwa partial huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa hawana pesa za kujikimu huko waendako, wajitafakar kabla ya kutenda
Anawezaje kuwepo chuon na hiyo GPA, ni chuo gani.
Labda afanye application ya mwaka huu hii round ya pili ajipange upya, ata perform vizur baada ya fundisho
Naona ndugu yangu nae amekumbwa na hili tatizo ameandikiwa invalid sponsorship document na kutakiwa upload kingine, changamoto ni kwakupata valid sponsorship document sijui hata ni vip nitalipatia ufumbuz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.