Recent content by Mr Issa Mussa

  1. M

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Fieldforce na uongozi wa Morogoro wawa kikwazo kwa waendesha bajaji

    Ni huzuni na kero kwa hili linaloendelea mjini Morogoro, Fieldforce wamejikita kukamata bajaji, Pia Tarura na sector zingine za kiutawala zote zimetolea macho waendesha babaji kwa kamatakamata na uwazishwaji wa vitu vipya Kila uchao ili tu kutengeneza mianya ya kujinufaisha huku wakiwaweka...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nadharia yangu namba 5 kwanini binadamu tumeumbwa duniani

    Mtoa maada unatuambiaje sasa lengo letu la kuwa hapa duniani ni lipi, na unataka tuishije kama hatutokuwa na muongozo. hv kuna taifa lisilo na katiba
  3. M

    JamiiForums Tanzania Updates Ajira za Ualimu (Hii imekaaje Wadau??)

    Walimu naona baadhi ya account bado zipo received, vp mchakato bado unaendelea au vp
  4. M

    JamiiForums Tanzania Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

    Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana. Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali. Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Toyota Noah inauzwa

    Ipo Mkoa gan
  6. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya OTEAS: Kwenye machaguo ya shule tuna attach barua gani? Baadhi ya haifungui TAMISEMI

    Bro mm napata ugumu naomba unisaidie nilitaka ku upload baadhi ya document ila ina load jana kutwa mzima mpaka usiku bado hali ni ile ile nifanyeje, kuhusu network ipo vizur na nimejaribu mitandao yote hali ni ile ile
  7. M

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa SUA wasababisha majonzi kwa wanafunzi wa ESM na BRD kwa kuwafutia boom la quarter two huku wakilazishwa kwenda field

    Uzi huu nimeamua kufikisha jamvin kwa lengo la kuonyesha njinsi Uongoz wa SUA unavyofanya mambo kwa kutokutafakari kwa kina kama Ifuatavyo; Hivi punde uongoz umechukua maamuz ya kuwafutia pesa ya boom wanafunzi wa Esm na Brd huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Serikali ifuatilie utendaji wa uongozi wa Chuo cha Kilimo cha Sokoine (SUA)

    Kwakwel Uongozi wa Sua ni shida, ESM na Brd wafundishwa partial huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa hawana pesa za kujikimu huko waendako, wajitafakar kabla ya kutenda
  9. M

    JamiiForums Tanzania Anaomba ushauri, yuko njipanda.

    Anawezaje kuwepo chuon na hiyo GPA, ni chuo gani. Labda afanye application ya mwaka huu hii round ya pili ajipange upya, ata perform vizur baada ya fundisho
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ndoa nyingi za watu waliopishana miaka michache (rika moja) huwa zinadumu muda mrefu na kuwa na changamoto ndogo ndogo sana?

    Ndege wafananao huruka pamoja simple answer, Ma gap makubwa sometime yakikosekama maadili mmoja hujiisi aliyenaye si type yake
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dirisha la marekebisho bodi ya mikopo

    Hebu nijaribu kufa kiume tu, maana nachart nao wananiambia ni upload
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dirisha la marekebisho bodi ya mikopo

    Hebu Ni nijaribu kuitafuta nione hatima yake
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dirisha la marekebisho bodi ya mikopo

    Naona ndugu yangu nae amekumbwa na hili tatizo ameandikiwa invalid sponsorship document na kutakiwa upload kingine, changamoto ni kwakupata valid sponsorship document sijui hata ni vip nitalipatia ufumbuz
Back
Top Bottom