Matusi ya hawa jamaa ndo kilichomnyima SIOI kura arumeru mashariki, wapo juu kwa matusi hawa jamaa, kama Mwigulu, Mkapa, na wengine. Hivi kumbe maadili ya chama tawala yanaruhusu matusi? Nilikuwa sijui. Tunajua ni mkakati mlioupanga. Hivi nchi inaongozwa kwa mipasho? Da tutafika kweli. Ushauri...