Recent content by Mr. I don Care

  1. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutuma Maombi ya Ajira Jeshi la Polisi

    mm nimekwamia Tu hapo kila nikijaribu kuandika namba ya NIDA inasoma inaniletea no record found , Msaada tafadhali Jana nimekesha kwenye kipengele hicho paka bando likaisha
  2. M

    JamiiForums Tanzania Idara ya uhamiaji ipoje?

    Kuna kipindi walikuwa wanapiga 3months kwa sasa sina hakika kama ni miezi 3 hiyohyo au wameongeza.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Mwanangu wewe ni Coy kabisa sitasahau Ile Coy mwanangu huyo kwamba Saria na kubweje walichokuwa wanatufanya Mungu anajua aisehe..
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    A Angalau ww umesadia vizuri kutoa jibu na obviously jeshi ni taasisi kubwa mno shughuli moja haiwezi kukwamisha shughuli pamoja na maadhimisho hayo ambayo kimsingi sehemu kubwa yanaandaliwa na kamandi husika JKT leo Kuna shughuli kibao zinaendelea kwenye chombo tofauti na hayo maadhimisho.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hakuna uhusiano mbona kati ya miaka 60 ya JKT na kuita watu kwa ajili ya either mafunzo au masahiliano hakuna uhusiano wowote Kama kweli ajira zilitangazwa kwa vijana kutoka uraiani waliopita JKT walikuwa wanamaanisha kweli na sio siasa wakati uliokusudiwa ukifika wataita hayo mambo ya 60...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekana kubadili Kambi ya JKT

    Kama sababu za kubadili kambi si za msingi Sana namshauri aende hiyohyo aliyopangiwa ni vizuri zaidi....kambi zote za kigoma zitampika vizuri awe mzalendo mzuri(nazungumza from experience) Sina maana ya kwamba kambi nyingine si Bora ila nashuhudia kambi za kigoma kwa kuwa ninazifahamu vizuri...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Droo Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika: Yanga SC vs Rivers United - Simba SC vs Wydad Casablanca

    Dua zangu Yanga tunaomba tupewe hao wanigeria Rivers tunawamudu kabisa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Sijui kwa wengine aisehe ila ni kheri ufanye depo kipindi Cha mvua si kipindi Cha jua Kali na vumbi alloh! Sifa morali tu depo mvua angalau.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Jamani wanajukwaa nasika tpdf washanza kuita watu kwa simu Je ni kweli? Kama ni kweli Kama yupo ambae amepigiwa simu humu alete tafadhali tunaomba ushuhuda wa Hilo ndugu wasakatonge wenzangu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Tangazo limelenga kijana aliyefanya mafunzo na kutumikia mkataba wake kwa muda wa zaidi ya miaka miwili tafsiri yake ni operation za kujitolea na si Mujibu na Wala si operation makao makuu Dodoma isipokuwa operation yeyote mwenye sifa tajwa hakuna sehemu walisema operation makao makuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Heeh?? Kwn lazima kila mtu awe Askari Kama hawezi apambane na mishe nyingine maanake hataweza kuwa na sifa zinazohitajika kuwa Askari Jeshi afu Kama una professional potential kwa jeshi unaweza kuajiriwa na jeshi even ukiwa na 35 broh.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Alafu concept ni ndogo Sana ndio JKT ajiri ipo wazi lakini asikwambie mtu hakuna kijana yyte anayekwenda kule kujitolea bila kuwa na malengo vijana wote wakwenda kujitolea kule kwa7bu wako committed, wanapassion, na wanakwenda kuwekeza fikra zao mawazo yao yote kwamba Kuna siku fursa ya ajira...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Pambana Kama kweli una nia ya kujitolea kupitia JKT weka cheti Cha Mujibu kando pambania nafasi uone Kama utashindwa kurudi wako wengi wamefanya Mujibu na kujitolea ndugu yangu na wako mtaani Kama wewe katika akili ya kawaida kuwaweka kwenye mizania moja Mujibu na kujitolea katika recruitment ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Ni sahihi unachokisema ndio maana Kuna wakati jeshi linatangaza nafasi za ajira mbalimbali za kitaalumu kutoka uraini km madoctor na maengineer n.k, na kwa kuwa Jeshi ni taasisi lazima iwe na wataalamu mbalimbali na mara nyingi watachukua kutoka uraini lakini nafikiri kwa kuwa makambini JKT...
  15. M

    JamiiForums Tanzania JWTZ yatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye mafunzo ya JKT

    Nikushauri tu jitahidi kuomba pia nafasi ya kujitolea kupitia JKT kwa umri ulionao huo unaweza ukawa na sifa za kutosha ukiwa umefanya mafunzo ya kujitolea kwa angalau miaka miwili Alafu Mujibu wa sheria na mtu aliyejitolea for mo than 2yrs hawalingani kivigezo kweli ajira ni changamoto lkn...
Back
Top Bottom