Recent content by Mr Dinho

  1. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Baba Diamond aomba mwanae amkatie angalau bima ya afya

    Hakuna binadamu mkamilifu hata yeye pia sio mkamilifu,japokuwa maamuzi ni yake ila akumbuke dunia hii tunapita. What goes around comes around Wanawake ni mama zetu,dada zetu ,Wake zetu, akina delila wetu nk.Akiwa kama mwanaume akumbuke hata yy alifikishwa mahakamani na kiburudisho chake kwa...
  2. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Kumbe ndio uliambiwa watu wakikataa huu upuuzi kwa mawazo waache kazi, alafu Yaan mmebaki na negative perception kwa watanzania,mara watakufa mara waache kazi. Note mimi Nipo private sector na kila mtanzania anauhuru wa kusema
  3. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    ndugu sio wote wanaanza kazi na miaka 20-30 Kuna watu wanatafuta kazi anabahatika kupata na miaka 35,level ya elimu unakuta ni cheti Kokotoa miaka yake ya kazi ni sh ngapi atapata pension, mnapteza ufanisi kazini mkizani mnasaidia taifa, wacha watumishi sasa wawaze maisha kazi ya kuajiliwa iwe...
  4. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Mtumishi anaambiwa mshahara ni kwaajili ya kula na kuvaa sio kujenga,Anategemea akiipata pension walau ajenge leo unamwambia unampa 25% ya millioni 75,000,000=18,000,000daaahhhh inaumiza.
  5. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Hivi ukinyamaza utaonekana hauna smartphone.
  6. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Pensheni ya Marehemu sasa kusomesha watoto

    Sijui kama kumuwakilisha mtu bungeni ndio kumkandamiza ila hii sheria ipo siku itawarudia
  7. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Wastaafu tunaungana kupinga sheria na Kanuni mpya ya mafao ya mwaka 2018 Mahakamani

    Binafsi najiuliza hivi watumishi ndio wanaonekana chanzo kipya cha mapato serikalini, yaan mtu pesa yake alafu apangiwe matumizi, ohhhh Jesus come down and hearing voice of tanzanian civil servant.
  8. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Pensheni ya Marehemu sasa kusomesha watoto

    Ole
  9. Mr Dinho

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wenye akili nyingi hupata taabu kupata mapenzi ya kweli?

    Mapenzi ni ujanja sio akili
Back
Top Bottom