Duu utakuwa ulikuwa huongei au huna ukaribu na watoto wa kike maana hiyo kauli wahuni wangu walikuwa wanaitumia sana enz izo tupo sec has a pale wadada wanapokuwa karibu ako ila wewe unakula ngumu ,kama nitakuwa sijakosea hiyo ndo sababu .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.